Tatizo linapo kuja kuwa Kàna kwamba JK ndiyo kamuua EDO ,Wakati jamaa kafariki kama ilivyo Kwa watu Wengine.
Nchi hii waliotaka kuwa Marais ni wengi, Sasa iweje Edo TU kufariki JK anaandamwa kana kwamba yeye kaua?
Huwezi kusema JK alimsaliti mwenzie, Mazingira ndiyo yaliamua.Watanzani Hawa...
Unajua sijaelewa, usafiri wa aina Mbali Mbali anaotumia Makonda kama Punda,Farasi,Trekta na Leo Grader anatakakutoa taswira Gani katika hizo ziara? Utamaduni wa Mahala husika? Uzalendo? Yaani sipati picha kabisa
Tabia hii Halotel pia wanayo, Mara 4 Sasa naweka Salio la 1000, nikitaka kujiunga kifurushi naambiwa Salio halitoshi,ukiangalia,600 wamechukua , kwakweli utapeli huu sijui utakoma lini
Magufuli ametuachia matatizo makubwa.
Katuletea watu waongo waongoooo.Hivi Tanzania nzima hatukuelewa maana ya asilimia 23? Hongera Pm endeleeni kula mema ya nchi hii
Upumbavu mtupu, aibu kubwa.Unawezaje kuahidi usichoweza kutekeleza? Hakuna hoja hapo endeleeni tu na sisi tutaendelea, Kuna siku mungu atasimama upande wetu
Mbona Hilo swali huulizi Kwa wabunge kulipwa zaidi milioni kumi na mafao zaidi ya milioni 200 ndani ya miaka 5 tu wakati Mtumishi zaidi miaka 30 hapati hata milioni 200, na hajari hiyo COVID, mdororo wa uchumi huo unaosema?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.