Uwezekano huo upo,CHADEMA wanapredict kwani nani hajui mchanga wa madini yetu unapelekwa ulaya 'kusafishwa?' isiwezekane kupeleka gesi ikisimamiwa na wenye UROHO na UMIMI wa familia zao kuliko taifa zima? Angalia tu Mikopo ya Elimu ya juu wanaopewa asilimia kubwa ni watoto wao...kuja kwenye vyeo...
Kama kuna mdau anaeish au kusoma St.Johns,nahitaji chumba hata ikiwa mbali kidogo na chuo....naanza safari kesho nikitarajia kufika keshokutwa j2......plz nicheki kwa 0787309945!!!!
Wadau kwa loan iliyotowela hata vyuoni wameandika batch namba 1,je kuna hizo batch nyingine zitakuja? Ambao majina yetu hayajaonekana tuwe na moyo na hilo la batch nyingine?
Tatizo hawa vijana ndo waliopitapita UDSM na SUA ktk familia zao,kwani wangetoka ktk familia zilizosoma na kuelimika wasingekuwa na dhana potofu km hz...yaani unakuta baba alisoma UD kipindi hicho na watoto wake anasomesha vyuo vingine ambavyo nyi washamba mnavidiss.....kwanza hata tukiangalia...
Watu wengine ni wachache wa akili....kujiona wapo vyuo vya maana sana wakati ni mapoyoyo tu....basi hata km we umesoma chuo cha TARAFA ndo unaona umesoma sana? Sifa ya msomi sio kuwa na gamba la UD,bali ni yule anayejiuliza ELIMU YAKE INAWASAIDIA NINI WANAJAMIII na sio kupaka tu ooooh vyuo vya...
Pamoja hoja zako zilizo nje ya upeo wako!!! Kiukweli watanzania wengi wanakumbwa na mikasa zaidi ya huyo Ulimboka....lakini hakuna connection ya kupigwa kwao na serikali!!! Ulimboka kapigwa vibaya katika kipindi ambacho kuna mgomo wa madaktari!!!! Achana na huo tu mgomo,yeye ni kiongozi mkubwa...
Dizaini km amechaguliwa degree program na chuo nje ya zile selection.....inabidi kwanza alog in,aingie my plofile ataona
draft mbili 1 ikimtaka acomfirm chuo na degree coz au aikatae na aingie ktk 2nd round!!!!
Angalia wafanyakazi wenye ufanisi zaidi wawapo kazini wamesoma chuo gani utaambiwa ifm. Mnyonge mnyongeni tu
Ni kweli kabisa,lkn waliochaguliwa hapo wengi hawakuomba....
Nashkuru kwa kurekebishwa lkn still swali halijajibiwa kabisa,degree program ya kwanza nimeambiwa nimekosea...lkn sijakosea ni hiyohiyo BACHELOR OF ART IN EDUCATION na ndo nimechaguliwa St.Johns.....so kusema nimekosea sio sawa ila wewe ndo huijui....
Kuna fucult zifuatazo zinanipa kiwewe kuzielewa....
1.Bachelor of Arts in Education
2.Bachelor of Education in Arts
ipi inayobeba somo 1 la kufundishia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.