Hawa tcu wanacheza 2 con kama wanafanya kazi mara ur admitted baada ya muda eligible ukirefresh wanakupa na chuo ulichochaguliwa tatzo likaja kw wengine walio mbali na info tech mpk wanakuja kufungua profile zao wanakuta k2 hakipo. Mi naona hawa expert wababaishaji kama kuna wale wanaosoma ki2...
Udom nadhan part 2 itakua ya 2nd round application ila ni the best akawait tcu kuona na ud pia vlevle aangalie km jina lipo kwa ambao hawajawa selected the ajue cha kufanya. Newcomer.
hapana km ulipo-login tool bar ya 2nd round applct haiko activ unapotezea ila km iko activ inabd ufanye applctn ya 2nd round. Ila ukiingia kwny my profile af ukaikuta activ ucfanye chochot kwn ipo kw wot. Cha muhmu ni pale ulipolog-in ndio inakuhusu if iko activ otherwise dnt do anythn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.