helow frnd. Even da name Netlog sounds crazy.
Ninaujua vizur, hawa wadada kwa uchunguz wangu abt 2yrs wale wadada ni kundi la wa2 fulan la wizi wa mtandao na zile picha ktk zile profile sio real inawezekana kabisa wale ni wanaume pia na wanawake. Mtanadao huu Netlog upo sawa kabisa na...
helo Mpendawali, it sounds as if na ww unaendasoma Petroleum Eng. Kama itakuwa 2po wote plz naomba 2wasiliane. Halafu mm nilipocheki yale majina ya all s2dents 2liochaguliwa wenye hela nyingi ni 3,882,500 mm nikiwa mmoja wapo. It means ther is no one given 100%loan. Then hii koz yangu, cc ndiyo...
samahan mm sina wazaz wote na jina langu limetoka ktk yale majina ya general mwanzo na nina mkopo100%. Je jina langu litakuwepo pia ktk hiyo previous lonee list? Naomba unieleweshe kwa hilo mkuu.
ndugu zangu wanaJF, mm nimepata koz ye BSc in Petroleum Eng. At UDOM na nimepewa mkopo Tsh 3882500/=, na ADA YA KOZI NI 1200000 please ni sawa na %ngapi?
Mimi nimengiwa UDOM kujiunga first year this year BSc in Petroleum Engineering. Naomba kufahamu hivi petroleum Engineering at UDOM ilianzishwa mwaka gani hii kozi. Pia ningependa kujua zaidi kuhusu hii kozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.