Search results

  1. M

    Ipi njia iliyothibitika ya kupata mtoto mwenye uwezo mkubwa kiakili “genius”?

    Mkuu ninashida nazo naomba msaadaaa ntazipataje hioz Almond?
  2. M

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Mkuu naomba na mimi please kama hautajali
  3. M

    Nahitaji mbegu ya korosho nipo dodoma

    Karibu tulime huku Mkoka wilaya ya kongwa Korosho zinakubali sana na mashamba bei chee. Miche inapatikana hapa magereza. Ukiangalia hii miche nilipanda mwez wa 2 mwaka huu. hakika hii mbegu ni bora sana na inakubali sana kanda ya kati. Karibuni sana wadau
  4. M

    Jinsi ya kufanya uchapishaji binafsi (self pulbishing)

    Mkuu hapo hilo ni chaguo lako unataka mteja akipate katika namna gani kati ya hizo ulizozitakja hapo juu. Amazon ndio wataprint na kumtumia mteja wewe ushaandika na kuchapisha baasi. Kwa maelezo zaidi kaka njoo katika channel hii JIFUNZE "SELF PUBLISHING" YA VITABU AMAZON
  5. M

    Jinsi ya kufanya uchapishaji binafsi (self pulbishing)

    Mkuu maswali haya yoote nitayajibu na kukupa mifano dhahiri na kuwaongoza nini cha kufanya karibu hapa katika channel hii JIFUNZE "SELF PUBLISHING" YA VITABU AMAZON
  6. M

    Jinsi ya kufanya uchapishaji binafsi (self pulbishing)

    JIFUNZE "SELF PUBLISHING" YA VITABU AMAZON Angalia hioyo mkuu
  7. M

    Jinsi ya kufanya uchapishaji binafsi (self pulbishing)

    Wakuu habari za jioni. Naomba mods msiunganishe uzi huu na nyuzi nyingine kwani huu ni special kabisaa JINSI YA KUFANYA UCHAPISHAJI BINAFSI (SELF PULBISHING) UTANGULIZI Ni ndoto ya watu wengi sana kuchapisha vitabu vyao na kuwafikia hadhira husika. Ila tafiti zinaonesha...
  8. M

    Jinsi mtanzania anavyoweza ku- "self publish" - Create space au Lulu .....

    Jamani nitatoa uzi kamili juu ya hili suala ni mambo marefu kidogo. Ila upande wa tax info jaza wewe ni non Us citizen kuuna maelezo mengi watakupa ujaze utajaza. kwa kuwa wewe ni non Us citizen royalties utalipwa kwa njia ya check. wao wanakutumia check unaenda bank unatoa mkwanja wako. Na...
  9. M

    Jinsi mtanzania anavyoweza ku- "self publish" - Create space au Lulu .....

    Yeah now Create Space imeunganishwa na KDP madhara ya ke ni kuwa kwa sasa hutaweza ku publish kitabu kwa lugha ya kiswahili tena. maana KDP haitumii Kiswahili.
  10. M

    Jinsi mtanzania anavyoweza ku- "self publish" - Create space au Lulu .....

    Kakak maelezo ni marefu mnoo mnoo sasa ila kwa kifupi ni kuwa uki publish kitabu create space au Lulu kitauza na Amazon pia. cha muhimu edit kitabu vizuri na tafta cover zuri la kitabu. mimi kitabu changu cha kwanza niliself publish niliuza kopi 1500+ kwa bei ya $4 you can imagine hela iko nje...
  11. M

    Jinsi mtanzania anavyoweza ku- "self publish" - Create space au Lulu .....

    Okay iko hivi kwanza inabidi ujue kitabu unachotaka ku publish ni size gan either 5X8 au zaidi. Baada ya hapo (kwa create space). Ingia katika web yao tafta template ya kitabu husika kisha copy na paste kitabu chako katika template hiyo. Mind you template ziko za aina mbili kuna yenye maneno na...
  12. M

    Naomba ushauri: Nataka niwaunganishe wauzaji na wanunuaji wa mazao na mifugo kwa njia ya mtandao

    mkuu hongera ila hii idea tulishaianza sisi hebu angalia hapa chini One Market Solution
  13. M

    Msaada; Kuondoa Pipes Kwenye Kisima Kirefu

    Hawakamilishi kazi na wana ujanja ujanja fulani hivi nilikuja kugunda walinipiga kisima kimoja Morogoro.
  14. M

    Msaada; Kuondoa Pipes Kwenye Kisima Kirefu

    Mkuu hao PDPR ni matapeli mnoo mnoo mnooo.......
  15. M

    Msaada: Nahitaji kununua pikipiki kwa ajili ya matumizi

    NJOO NIKUPE XL ORIGINAL (ZILE ZA MILIONI 7) ILIKUWA YA MRADI IMETUMIKA MIAKA 2 TU, NOW NAIMILIKI MIMI. JAPO KA BEI KAMESIMAMA ILA NJOO TUYAJENGE. ANY ONE INTERESTED PIA NJOO PM.
Back
Top Bottom