Nia ya Magufuli in fact ni njema sana katika kulinda rasilimali za taifa.Sema tatizo ni kwamba amejiongezea mzigo mwingine kwa kukimbizana na Wapinzani wake kitendo ambacho kinamfanya aonekane kwa wengi wa watanzania kuwa anabinya Demokrasia ambayo hata Katiba ya nchi inatambua uhalali wa...
UOTE="CHARMILTON, post: 23416387, member: 292576"]Linapokuja swala la kupigania rasilimali zetu huwa nasimama upande wa Rais Magufuli.
Je inapokuja suala la Wakosoaji wa Serikali kuwindwa kwa Pistol na SMG Unasimamaga upañde UPI Bosi.!!
Polis Jana wamesema wanawafuta waliotekeleza shambulio la Mh Lissu, najiuliza Je wanafanya hivyo baada ya Lissu kuwataarifu kuwa ameshambuliwa au walisikia kutoka vyombo vya Habari au kutokana na minong'ono ya watu, au walipo msikia Lissu akilalamika kufuatiliwa na watu wasiojulikana walimtaka...
Labda Mwigulu haikumbuki Historia ya JPM kipindi akiwa na nyazifa za Uwaziri, kuwa alikuwa ni MTU mwenye kusimamia alichokuwa anaamini ni sahihi No matter wakubwa wake wangenuna ama kufurahi.Misimamo hiyo ndo iliyowashawishi watanzania kumjaribu pia kakika nafasi ya Uraisi. Sasa jamaa yangu...
Hugo ndo igweee wa Tanzania yetu ya Viwanda, kwa sisi wakulima tunaomba Mungu ashushe mvua mapema mwakani vingine tutakufa kweli maana igwe alishatamka hivyo na akisema kamaliza huwezi mbadilisha. Si unaona mgogoro wa walimu na madai yao kwa selikari alivyo uzima kwa hotuba yake toka Mtwara. Kwa...
Ushindi wa Lisu hakika ni wa kufurahisha sana hasa kwa watanzania wasio na itikadi Kali ya Mlengo wowote wa Kisiasa.Najuwa kwa watu wa chama chake furaha walionayo haina kifani. Hongera kwake raisi Mteule wa TLS.
Mie naona labda weakness ya hao mawazi wetu ni kutochukua maamuzi ya hata KUJIHUDHURU nafasi zao kama ishara ya kutokubaliana na hii ONEMAN SHOW System inayotawala sasa.!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.