Search results

  1. maghambo619

    Makundi ya Waislamu Waafrika wavamia na kuzuia sherehe za kusheherekea tamaduni za Kiafrika

    Yesu alikua anafundisha kwa mifano, ukielewa huu mfano utaelewa hii mbingu ambayo wenzetu wanaipigania kwa jinsi ya mwili
  2. maghambo619

    Makundi ya Waislamu Waafrika wavamia na kuzuia sherehe za kusheherekea tamaduni za Kiafrika

    Jibu hoja wewe Acha blabla, Allah ndio katoa hayo maagizo kupitia kwa kunywa cha Allah mwenyewe (nitume Mohamed) wewe ni Nani upinge?
  3. maghambo619

    Makundi ya Waislamu Waafrika wavamia na kuzuia sherehe za kusheherekea tamaduni za Kiafrika

    Wale ndio wako Sahihi, hakuna muisilamu mkamilifu akawa dormant atakua hajasoma Koran huyo
  4. maghambo619

    Makundi ya Waislamu Waafrika wavamia na kuzuia sherehe za kusheherekea tamaduni za Kiafrika

    When comes to public hua mnawakataa hata Al shabab ila deep down mnawasupport
  5. maghambo619

    Biblia ndio kitabu pekee kinachojibu maswali Mengi kumuhusu binadamu na maisha yake

    Ndoa yoyote inatambulika kisheria, na nahakama ndio zenye mamlaka za kuvunja ndoa pasipo na migogoro yoyote ya kifamilia.
  6. maghambo619

    Rais Samia apokea Ripoti za CAG na TAKUKURU za Mwaka 2021/2022

    Ukicheka na kima utavuna mabua
  7. maghambo619

    Umoja Party: Najitolea kujenga Ofisi

    Ntakuunga mkono, ni muda sasa wa kuachana na wababaishaji
  8. maghambo619

    Kocha wa Simba aondoka Usiku huu kwenda kwao Brazil

    Sijaomba unibadilishe, nimeomba unieleweshe Tu hakuna ubaya, labda ntabadilisha mtazamao
  9. maghambo619

    Kocha wa Simba aondoka Usiku huu kwenda kwao Brazil

    Embu niambie basi kwanini kocha asirudi? Nishawishi namimi nifikirie kama wewe.
  10. maghambo619

    Freeman Mbowe akiongea katika kipindi maalum cha Kinaga Ubaga

    Katika watu ambao wamekoma ushawishi wao ni huyu Bwana, Labda Lissu aje awe mwenyekiti au kianzishwe chama kingine cha upinzani.
  11. maghambo619

    Kocha wa Simba aondoka Usiku huu kwenda kwao Brazil

    Kwa sababu alimtoa chama? Hivi Una akili timamu kweli?
  12. maghambo619

    Israel kuchukua hatua baada ya Palestina kwenda mahakama ya ICJ

    Kumbe kujilipua ni sehemu ya uisilamu, ? Sent from my V2058 using JamiiForums mobile app
  13. maghambo619

    Israel kuchukua hatua baada ya Palestina kwenda mahakama ya ICJ

    Mnakimbilia Sana kwenye Hilo chaka la Israel kupiga wasio na hatia, Palestine wanavyofanya mashambulizi ya kigaidi dhidi ya Israel mnafumbia macho, Sent from my V2058 using JamiiForums mobile app
  14. maghambo619

    Waziri Mwigulu: Tozo zinasaidia kuendesha miradi ya kimkakati

    Puuuua puuuua puuuuuuuaaaa kabisa
  15. maghambo619

    Combination ya Outarra na Inonga tunatolewa na Big Bullets

    Ntakubaliana nawewe 100%
  16. maghambo619

    Makato ya ushuru wa kuweka au kutoa fedha benki na kutuma na kupokea fedha kielektroniki waanza

    Kuwa na reasoning basi, kulamba asali ndio upoteze ubongo kiasi hiki?
  17. maghambo619

    Makato ya ushuru wa kuweka au kutoa fedha benki na kutuma na kupokea fedha kielektroniki waanza

    Bro, Kama unatoa pesa mara moja kwa mwezi unaweza ukasema ndogo, Ila Kama unatoa pesa mara kwa mara hiyo pesa ni nyingi mno.
Back
Top Bottom