waliopangiwa ajira Oct 7,2015 kwa katibu mkuu wizara ya fedha kuriport Lin????
Vip barua za kureport ,utumishi wanatuma baada ya muda gani????
Update tafadhari
:A S check_03: Kwa mwenye taarifa kuhusu ajira za TBS zilizotangazwa mwenzi january 4,2015 kama wamesha sahili walioomba
Tangazo pamoja na nafasi husika nimeattach hapo.
Tusaidiane , Nawasilisha
simu yangu inanisumbua sijui tatizo maana nikitumia pen inafanya kazi vizur lkn nikijaribu kutumia hands haifanyi kazi kiboard.
Msaada please maana hata msg siwez andika.
jamaa wanalalamika et GPA kubwa vyuo vya private.
Mbona watu walio serious gvt tunapiga GPA kubwa kishenzi tuacha mambo ya ajabu tatzo walioko vyuo vya gvt wanajarbu kuja na historia za 4m6 et div 1,2. ukwel ni kwamba wanajisahau na kula bata mm shaidi nipo ud tena COET lkn GPA kama 4,zipo...
wanajamvi mie naulizia mahali pa tuition center masomo ya physics, chemistry na hesabu kwa kidato cha tano ( kwa Mwanza) mwenye kujua vituo hivyo vilipo huko mwanza tusaidiane ili nimpeleke ndugu angu . Ntashukuru kwa msaada wakuu
Tatzo mtoa mada uwezo mdogo : tatzo ni up mbukeni mie nmesoma hvyo vyuo unavyodhani sio vya kama but kuna watu walichaguliwa name div 1 & 2 BT walionekana vilaza sn nikahis kumbe wanabahatisha tur
Hawa 2nd wanaudhi sana jaman et cont...,cjui bado wana mzuka na boom,kafieni huko 2na mambo mengi ya kufanya sie,ushaur nenda heslb ndio uliingia nao mkataba hil wagalmikie maxomo yako
Mkuu,
Mpaka sasa CDM hatufanya mapendekezo nan ni nan na atagombea ktk ngaz zote ktk uchaguz mkuu! nan kakwambia DR. SLAA atagombea uras, CCM mtaweweseka sana mbona kuna wa2 wengi ndani ya CDM wenye kuinyima CCM usingiz! i.e JJ Mnyika, Lissu, Kabwe, 2015 mtasema sana na kubaki kuwa wapinzan kwa...
Karibu asilimia 30 ya wanachuo( udsm) walofanya mitihan yao ya supp/special wamejikuta wakidumbukia kwenye kiitwacho carry over,source; mmoja wa wadau wa mambo ya elimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.