Nilidhani ni gari lake la kutembelea, kumbe gari la Mbao? Sasa mnataka kutuambia Mbunge anaweza kufuatilia magari yake yamepakia nini mda wote? Je, na hizo mbao ni za kwake? Makosa hayo hayawezi kuwa ni ya kwake moja kwa moja kwa sababu tu eti gari ni Lake.
Watanzania Tumenyimwa elimu ya vitu vingi sana. Na ndio maana tumekuwa wapayukaji tu na washangiliaji kwa kila kinachotokea bila kujua uhalisia wake. Hiyo elimu inayohusu uwimdaji hatujui kitu. Tumekuwa wasemaji wa tusiyoyajua. Ni vyema ukipata jambo jipya kujifunza kwanza kabla ya kuropoka...
Watanzania tuna matatizo makubwa sana. Tunapenda kusema na kufanya mambo tusiyoyajua na kuyaweza. Na tunaacha kuyasema na kuyafanya yale tunayoyaweza. Vizazi vinavyokuja ndio shida kuliko vizazi vilivyopo. Haya yote yameandaliwa kwa makusudi maalumu na bado hatushtuki
Unataftaje Dola na Mgombea mwenye tuhuma Lukuki? nilikuwa naamini katika mabadiliko, lakini sio haya ya staili hii. Viongozi wamevuruga chama, wamevuruga harakati za mageuzi Tanzania, tusubiri tena kwa miaka 10.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.