Search results

  1. B

    St. John we are tired now

    hata mwk jn illikuwa hvyo...waltoa late baada ya tcu kurelease so vumilia baba
  2. B

    For JamiiForums Mobile users

    plz click here
  3. B

    NAOMBA MSAADA WA KUJUA NIMEPATA MKOPO %NGAPI. Nisaidieni

    maisha yako hamna %85..kitu kinaenda kwa interval ya kumi,.kwanini tusiwe wavumilivu heslb waweka mambo wazi? Uku ni kupeana moyo hakuna anayejua kitu
  4. B

    Majina ya TCU haya hapa na mikopo waliyopata

    upo ifm? Km ndo wewe basi umepata mln 3,747,660
  5. B

    hatimaye bodi ya mikopo yatoa majina .

    unamaanisha hizo post nyingine hujaziona au?
  6. B

    Kauli kutoka bodi ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu soma hapa

    si afadhali hata angekuwa mlinzi? Hamna lolote amekosa kitu cha kupost kazi kujipendekeza na heslb si bora ukae kimya ndugu,.au hujui kimya ni jibu nalo!?
  7. B

    Ushauri wa bure

    Ndivyo mapenzi yalivyo japo ni ngumu kukubali ukweli...namshauri akubali mkweli ajitahidi kuwa busy na mambo yake na apende kuwa na rafiki zake hiyo itamsaidia kumsahau huyo jamaa yake
  8. B

    Nisaidieni wana jf ushauri tu! mungu atawabariki sana

    dont judge a book by looking its cover
  9. B

    Nisaidieni wana jf ushauri tu! mungu atawabariki sana

    real i better think twice..tanks
  10. B

    Nisaidieni wana jf ushauri tu! mungu atawabariki sana

    sijasema na uwezo na wala sijaliamua hilo icpokuwa nilitaka ushauri na sio kuniponda note sijaamua kulifanya hilo kabla ya ushaur ya wana jf
  11. B

    Nisaidieni wana jf ushauri tu! mungu atawabariki sana

    Me ni mwanafunzi najianda kwenda chuo yani 1st yr..nina mpenzi wangu nampenda sana na natarajia kufunga nae ndoa hapo baadae! Ila kwa sasa mwenza wangu anamatatizo kwenye familia yake na me ndo msaada mkubwa uliobaki kwake..katika kujaribu kuyatatua hayo tumefanikiwa kumuweka mama sawa ila baba...
Back
Top Bottom