si afadhali hata angekuwa mlinzi? Hamna lolote amekosa kitu cha kupost kazi kujipendekeza na heslb si bora ukae kimya ndugu,.au hujui kimya ni jibu nalo!?
Ndivyo mapenzi yalivyo japo ni ngumu kukubali ukweli...namshauri akubali mkweli ajitahidi kuwa busy na mambo yake na apende kuwa na rafiki zake hiyo itamsaidia kumsahau huyo jamaa yake
Me ni mwanafunzi najianda kwenda chuo yani 1st yr..nina mpenzi wangu nampenda sana na natarajia kufunga nae ndoa hapo baadae! Ila kwa sasa mwenza wangu anamatatizo kwenye familia yake na me ndo msaada mkubwa uliobaki kwake..katika kujaribu kuyatatua hayo tumefanikiwa kumuweka mama sawa ila baba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.