Walimu wa chuo kikuu wamekuwa makada wa ccm, wanajipanga kupokea rushwa ya vyeo toka kwa pombe. Namshukuru M/Mungu kwa kuninyima nafasi ya kwenda kupoteza muda kwenye vyuo hivi
Nimesikiliza hotuba yote, lakini kile kipande cha human face kwa wananchi wa mwanza kinasumbua sana. Tena ameenda mbali sana kwa kuagiza mawaziri zaidi ya wa3, kufind njia mbadala. Kuna watu wana stop order, lakini serikali hii, doesnt care
Ujinga kumtetea huyu mbaguzi, anatupeleka Rwanda
alichosema huyu jamaa, naona haya kumwita Rais wa Tanzania. Laana ya ukanda utaipeleka tanzania kama Rwanda. Kabla hatujayafikia hayo, M/Mungu atamuangamiza yeye na ccm yake
Huyu jamaa ni mbaya sana, hafai kuwa Rais wa Jamhuri. Anawagawa watu kwa itikadi na ukanda. Kwani wale wengine wanaovunjiwa nyumba zao hawaitaji Human face? Kwani wale wanaoendelea kuvunjiwa, sio Raia wa Tanzania? Je hili pombe ni rais ya waliompigia kura tuu? Kama mwalimu angekuwa hai, baada ya...
Alitakiwa asiifike kabisa gari aliyopanda Rais, soon alivyojichomoza gari ya Rais ilibidi ipunguze mwendo na zile mbili ubavuni zilitakiwa kublock. Wakati huo huo, walinzi wengine wangekuwa wana evaluate lavel of danger. He was not allowed to touch gari ya Rais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.