Ndg. Mkurugenzi,
Yah: ZUIO LA KWA WAFANYABIASHARA KUENDESHA BIASHARA ZAO NYAKAZI ZA ASUBUHI KWA SIKU ZA KILA JUMAMOSI YA MWISHO WA MWEZI.
Kwanza kabisa naomba niwapongeze kwa kazi nzuri ya ujenzi wa stand ya kisasa na usimamizi mzuri.
Moja ya chanzo kikuu cha mzunguko wa pesa katika mji wa...
Rudi nyumbani ndg, kumenoga saana TTCL Gharama ni kitambulisho chako tuu line ya 4G yenye kasi ya ajabu kwa bei ambayo utajikadiria wewe mwenyewe!
Karibu saana
Mheshimiwa,
Kila wakati ukienda kuulizia juu ya fao la mkopo wa elimu kwenye mfuko wa PSPF jibu unalopewa ni kwamba muongozo haujatoka. Ni mwezi wa pili sasa hata wafanyakazi nao hawajui majibu ya kutupa kama fao lipo ama halipo.
Najua sheria inapopitishwa basi mambo mengine ya miongozo nayo...
Siku zote Adui yako huangalia udhaifu ulionao na kupita kwenye njia zako hasa zile nyeusi. Hili swala ni pana na sisi wananchi hatuna budi kuliacha kwa vyombo vya Intelijensia kufanya kazi yake kwa upana na kuja na majibu sahihi ili kumwokoa msichana mzuri na Kigori (Bongo) kutoka kwa mapapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.