Vipi kama dada na kaka zako muoaji ndio machangudoa na mateja? Yaani baba wakubwa/wadogo na mashangazi wa watoto wako ndio wana maisha ya hovyo? Maana yake usioe mpaka uhakikishe hao ndugu zako (siblings) hawana maisha ya hovyo.
Nafikiri una hoja ya msingi hapa. Wale wanomsifia Rais kwa kwenda kukagua ndege inavyopigwa rangi wanashindwa kuelewa kwamba taasisi ya urais inadhalilishwa. Rais kukagua ndege kupigwa rangi si kitu cha kusifia (Kama anavyofanya Gerson Msigwa). Ni dalili ya udhaifu mkubwa wa taasisi zetu. Ni...
Ukitaka kumaliza mzizi wa fitna kuhusu rushwa, fanya TAKUKURU kuwa chombo huru, kisichowajibika kwa Rais, kisichosubiri maelekezo ya Rais, na kisichotegemea fadhila za Rais. Yaani kiwe chombo kinachoweza/chenye mamlaka ya kumchunguza na kumchukulia hatua mtu yoyote, akiwemo Rais mwenyewe na...
Unamtafutia visingizio tu. Magufuli ndie anayekataza farasi wake kunywa maji. Amegeuza watendaji wake kuwa farasi, badala ya watu wenye utashi, maarifa, na uhuru wa kufikiri na kutenda.
What evidence do you expect to see? Unaijua TISS wewe? Kwamba unatarajia kuona TISS wakiitisha presser kusema wanafanya figisu Fatma (Rais wa TLS) asihudhurie LAW DAY? You are quite funny!
Ajabu sana. Anatamani kuwa kama mabeberu anaowakosoa kila kukicha. Insanity.
Frantz Fanon akaandika katika kitabu chake The Wretched of the Earth:
"Come, then, comrades, the European game has finally ended; we must find something different. We today can do everything, so long as we do not...
RailwaY Station ni kitu kinatakiwa kudumu kwa zaidi ya miaka 1000. Hakuna haja ya madoido: ukuta mkubwa, zege na finishing inayostahimili vumbi na misukosuko ya abiria kila siku (mara watu wamwagie juice, grafitti etc). Kwa design uliyotuonesha hapa na kwa Wachina niliowaona kwenye video, kuna...
Lakini kwa mujibu wa Financial Times (Subscribe to read | Financial Times ), Tanzania inaweza ku-influence bei ya korosho kwenye soko la dunia mpaka January/February (wakati nchi nyingine kama Nigeria, Cote d'Ivoire, Vietnam zitaanza kuvuna), all down to seasonality. So itategemea serikali...
Hata kama speed limit ni 50 km/hr, 89 km/hr ni mwendo mkali? Or what am I missing here? Hata mimi ningekuwa Waziri ningekataa hiyo ripoti (doppler, whatever you call it).
Hizi ni fikra potofu. Kibali cha kukosoa jambo hakitokani na mkosoaji kuwa na alternative. Unaweza kukosoa kitu hata kama huna alternative. Kukosekana kwa alternative haina maana kuwa jambo au kitu kama kilivyo sasa hakina mapungufu. Jambo linaweza kuwa na mapungufu na likakosolewa kwa misingi...
Kabla hujafanya hitimisho, tafuta mtu yeyote aliyefanya kazi kwa karibu na Kabudi na ufanye nae mahojiano. Kama ulivyosema, Kabudi atafanikiwa ku-impress wale wasiomjua kwa "uwezo wa uwasilishaji wa mazungumzo na mijadala". Ni presentation tu na kuchonga, nothing else. Kama huniamini, tafuta mtu...
Haha. Kwa hiyo unachukulia kuzaliwa kwako kama zawadi uliyopewa na wazazi wako? Vipi, kama usingezaliwa ungejua kama hujazaliwa? Ni kama vile unaamini ulishakuwa lined up kuzaliwa na kama wazazi wako wangechagua kutokuwa na watoto, basi wangekuwa wamekubania. Strange thinking. Unajua hata maana...
"Angesepa street" ili wamshone risasi vizuri. Yaani, you have completely failed to visualise what actually happened that night. Si unajua waliua Yassin wakifikiri wamekula Bobi Wine? Na hayo majamaa yalikuwa yanaongea Kiswahili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.