Kwa hakika inasikitisha kuona nchi au bunge linaongozwa kwa mtindo wa aina y ake toke huyu ndugu awe waziri mkuu. Hana uwezo wa kutoa hoja au kupinga hoja inayohusu maslahi ya taifa hasa akiwa kiongozi wa shughuli za serikali. Hana uwezo stahili na hili liwaume watu wengi ili waone sababu ya...
Kwa hakika kama hujajipanga mwenyewe juu ya umiliki wa hela hizo pamoja na matumizi yake, ni wazi hata tukikusaidia kupata kazi ya kufanyia hutaweza kwa kuwa wazo halijatoka kwako. Mchanganuo wa biashara ni muhimu. Omba msaada huo na siyo kuuliza swali ufanyie nini
fedha
Hakika bunge hili la kuimi ni udhia mtupu. Heshima ya mtu ni mtu mwenyewe. Kama unawawakilisha wananchi wako, lugha chafu na ya kejeli ya nini. Waheshimiwa wazima wanazomeana kama watoto wa std II. Inatia aibu.
Hakika bunge hili la kumi ni udhia mtupu. Heshima ya mtu ni mtu mwenyewe. Kama unawawakilisha wananchi wako, halafu wanakuona unavyotoa lugha ya matusi au kejeli haipendezi hata kidogo.
Kwa hakika Lowasa anastahili kuongoza nchi hii. Juhudi na bidii yake wenyewe mliona kwa kipindi kidogo sana alichokaa katika nafasi ya waziri mkuu. wale wote wanaobeza mfano wa hizo shule za kata hakika wanakosea kuwa ni za kifisadi. Angalia maandalizi hayo yanavyokuja kuwa sambamba na walimu...
Hongera Zitto. Wapenda haki na watetezi wa wanyonge wanakuombea kwa Mwenyenzi Mungu. Hivyo vita ni vikubwa na wanaoguswa wako samaki wakubwa, sasa je umejipanga kiasi cha kuwashinda kwa hoja kwani wao wana nguvu ya dola? Vile vile ndani ya chama chenu, je hakuna wasaliti? Jipe moyo mkuu...
Pole sana kwa matatizo ya bibi. Usafiri uje hadi Arusha, ufike arusha airport Kisongo, kuna Helicopta utapewa gharama ya kama dola elfu moja hadi mia saba hivi ila sina hakika ya gharama kwani kila mara inabadilika. Mtafute Kapten Barasa. Hiyo inatua nje kwa babu hakuna gharama zaingine za...
Kwa hakika tunatoa pongezi kwa aliyeweka hii. safi sana. Sasa ni wakati wa kufungua macho na kujihadhari na watui wenye uchu wa madaraka. Alichokuwa akililia miaka yote akiwa kiongozi wa kambi ni serikali ya kitaifa. Sasa imekubalika ubinafsi unachukua nafasi. Sasa tuwaweke wapi hawa...
Tunamshukuru aliyeleta hii. Safi sana. Kwa pamoja tunaungana nao kuwa waelekeze fedha hizo kwenye "charity fund" kwani sio juhudi yao iliyorejesha fedha hizo. Hawakuona sababu ya kuzitafuta kwa kuwa wanajua fika kuwa mhusika mkuu aliyekula hilo jasho la Wanzania angejulikana. Tunawapongeza...
Kwa hakika hilo ni kosa kubwa mbele ya Mwenyenzi Mungu. Ni vizuri aondoke, aweke wazi kile kilichomtoa katika nyumba yake bila kupenda, awashirikishe wazazi wa pande zote mbili awahi zake mapema. Hana dhamani yoyote hapo, ni bora ndoa hiyo ivunjwe kisheria ili aweze kuolewa na mwanaume...
Hakika huo ni ubabe wa kutaka mafuta ya libya. Hata kama gadafi anatumia nguvu kuangamiza raia wa nchi yake, mbona raia kama hao huko ivory coast wamepoteza maisha lakini mmarekani hakuweza kumwondoa huyo rais aliyeng'ang'ania madarakani? Hapo ameona kuwa hakuna masilahi yake zaidi...
kwa hakika 2015 ccm haitakuwa na excuse, cha maana kwao waje na mtu safi na asiye fisadi. Kinyume chake tutakuwa tumekipa ushindi wa kishindo wapinzani Cha msingi wajirekebishe kwa kutumia hoja za wapinzani wanazotoa pamoja na kero za wananchi wanazoibuliwa na chadema. Mfano sukari, umeme...
Ninatoa mwito kwa wote kuwa sio siku hiyo pekee inayohitaji kujali na kupenda, bali ni kila siku. Watu wengine wameweka mtazamo wao kwenye masuala ya ngono zaidi kwa siku hiyo. Ni siku ya kudangayana sana hivyo muwe makini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.