Amekuwepo hapo wizarani ila aliteuliwa kuwa mkurugenzi wa sheria kuanzia 10/10/2014. Kipindi cha nyuma alikuwa mtumishi wa kawaida. Kwahiyo mkuu kabla hujatoa hoja kuwa na full data.
Jamaa yuko vizuri kwenye sheria za madini na gesi, atasaidia.
Pia wale mnaosema alihusika kwenye mikataba ya...
Kutokana na uhaba wa hostel za chuo kuwa chache wewe uliechaguliwa saut na wewe unaendelea na mwaka mwingine wa masomo kuna hostel za watu binafsi ila kutokana na almanac yetu na reporting day kwa first year nawengine,wajanja waisha anza kutafuta ni wapi wataishi kwa mwaka mpya wamasomo.So...
Sawa wakuu nimewaelewa swala ni la course ahsante kwa kunisahihisha that's y we're Great Thinkers bt hata mimi nimeamua kubadili kwakuwa nimetokea kuipenda BAGE
Wakuu naombeni ushauri juu ya hili, mimi nimechaguliwa Bachelor of Arts in Public relations and Advertising pale UDSM ila sasa baada ya muda nimeshauriwa na watu wa nyumbani ni badili nichukue Bachelor of Arts in Geography and Eenvironmental Studies hapo hapo UDSM pia so mawazo yenu kwa...
Kwa wale tuliochaguliwa SAUT ila hatujafika kufanya registration kwa kusubiri mkopo taarifa zilizopo ni kwamba hostel za chuoni zime full kwa sana so kilichopo nikutafuta hostel off campus kwa mfano pale Nyamalango. Ila kwa upande wangu nishaafanya booking ya room hapo Nyamalango so kama kuna...
Kwa wale tuliochaguliwa SAUT ila hatujafika kufanya registration kwa kusubiri mkopo taarifa zilizopo ni kwamba hostel za chuoni zime full kwa sana so kilichopo nikutafuta hostel off campus kwa mfano pale Nyamalango. Ila kwa upande wangu nishaafanya booking ya room hapo Nyamalango so kama kuna...
Napenda kuwahabarisha wanachuo wote wa SAUT ie-:flypig:First Year,Second and Third year :flypig:yakwamba kwa wale watakao hitaji private hostel rooms zisizo za chuo kufanya mawasiliano na contact hapo chini ilitupate good accommodation for our university study duration kwa namba :A S...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.