Mwanamke anakosha nywele baada ya week loooooooo wajameni
wapi tunakwenda na wapi tunatoka inavyotakiwa awe anakosha kila siku
kwa waisilamu baada ya miti wakimaliza ni lazma kuoga mwili mzima na raha
mnakoga pamoja inategemea nyumba kama nyumba za kushea vyoo itakuwa
vigumu
Jambazi linalouwa linapelekwa mahakamani anahukumiwa miezi mitatu kwanini isiwe hivi likisha hukumiwa polisi walipige risasi,
wao wanaua na wao wauliwe anaetumia silaha apigwe na risasi
anetumia panga apigwe na panga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.