Sio lazima ulipe ada yote unaweza lipa nusu,na kama bodi wamekupa lak 5 na ada laki 7 we unatakiwa kulipa laki 2 ambapo unaweza kulipa nusu laki moja. Suala la dead line sina uhakika sana but cha msingi wakat unaenda fanya regestration uwe tayari umelipa diarest cost na fees hata nusu hapo ndo...
We unaangalia majengo,kwanza ata kwa majengo kiu haingii kwa udom,afu usipendi kujaj vitu kwa kuangalia kwenye tv
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Iyo mitandao haipaswi kuongeza gharama wanapata sana faida wakati mwingine wanakata pexa ata pasipo sababu
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Kwaiyo unataka sema wale polic ni chadema au? Huu umaxn utawapeleka pabaya najua ni njaa tu izo,ukipewa chochote unaropoka tu uku nafsi yako ikikusuta
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Hamna cha kufulia serikali inao uwezo mkubwa tu wakuwasomesha raia wake,pesa ngapi zinaliwa na mafisadi mabilion kwa matrilion izo pesa zingesomesha watoto wangapi? Tatzo watanzania tunakubaliana na kila kitu bila kuhoji kuna taarifa kuwa viongozi wa bodi ya mikopo wanalipwa hadi milion 12..kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.