dogomkama haunaga cha kuongea jitahidi kunyamaza tuu, au hako kasim kako kamchina ndo kanakupa jeuri ya kutujazia thred humu.. pppuuummbbb.........fffffffffffffffffuuuuuuuuuuuuu
ebana hio ishu ipo lakini co kwa UDOM cjui cc wa UDOM imekuaje kwa sababu mpaka sasa watu wa UD na MUM wameshapangiwa mikopo kwa watu wa continue xa cjui inakuaje hapa dom, nasikia kuna ishu ya kuandika majina kwa loan oficerkisha yaambatanishwe na matokeo yapelekwe bodi ndo tupangiwe, hio ishu...
pamoja xana wana jukwaa, lingine jipya lililo jiri leo ni kwamba leo hii management na body of directors wamekaa kikao mchana katika kuhaklikisha tunapata mkopo kwa wakati stahili xo inavyoonekana haitachukua muda mrefu swala hililitakuwa limepatiwa ufumbuzi. kwa hiyo wakuu tuwe na subira...
jamani ndugu zangu mnaoendelea na masomo poleni sana kwa hili ikiwemo na mimi mwenyewe coz ni miongoni mwao, wana ndugu mimi binafsi ijumaa iliyopita ya tar 21 nilikuwepo bodi ya mikopo ili kujua hatma yetu juu ya swala zima ya kupangiwa mikopo kwa sababu inavyoonekana wanafunzi woote...
je na wale wanoendelea na masomo ambao mwaka wa jana walikosa kabisa kwa maana ya NO LOAN xo wakaamua kuomba mwaka huu nao vip kutokana na dodosa dodosa yako nao watawa consider au ndo watachinjiwa baharini, majibu tafadhali mkuu
hizo program ni moja u kazi ya vigzo vya kupta mkoo, kuna vigezo vingine pia kama hali ya uchumi ya mombaji xo haimaanishi kua kama hujasoja priority corses bas haupati mkopo, swala hilo hakunahebu jaribuni kuwaelewa bodi
xomkuu kuna pesa ya matibabu takribani laki moja tunalipa aple chuo, xo hiyo ndo wata i compaset kwenyemfuko au tunatakiwa kulipa tena elfu hamsini nyingine ukiachana na ile laki moja?
pia Ib ipo kampala Internationa university, ile ya gongolamboto ila ile co B.com ile ni bachelor degree in international business, xo cc tupo wide mno, masters yake inapatikana UDSM na IFM tu, ila ya IFM sio B.com ile ni MBA IN INTERNATIONAL BUSINESS yaani masters of Business Administration In...
dogo tulia, hujapotea ni mashavu ya kutosha, u'r n right choie, hiyo coz ip dom tu, me naingia 2rd yr hapohapo, xo cool mwaka huu ndo product ya kwanza inaenda mtaani, dogo hiyo coz asije akakudanganya mtu iko vizuri mno
kama ndo hivyo basi kitu JAMUHURI, cc ndo mwaka wa jana tulisajiliwa, na mtapanga mistari humo ndani uwanjani kutokana na school na college zenu , xo mpango mzima unakua hivyo.
kama ndo hivyo basi kitu JAMUHURI, cc ndo mwaka wa jana tulisajiliwa, na mtapanga mistari humo ndani uwanjani kutokana na school na college zenu , xo mpango mzima unakua hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.