Nadhani umeshajifunza kitu mpaka Sasa. Tofautisha Sheria za utumishi wa Uma na Sheria za makosa ya jinai, na hizi wakati mwingine husomwa kwa pamoja. Kwa Mfano Mh. Rais amemfuta kazi jamaa yako kwa kutumia Sheria ya utumishi wa Uma lakini masuala ya kijinai ameziachia mamlaka husika ziendelee...
Ndugu yetu ameandika mengi na ushauri ninampongeza Sana kwa Hilo, ninamwomba aendelee kutupatia mengi zaidi ya kheri, Ila ninaongezea kidogo tu kwamba tuangalie matumizi ya Sola jamani gharama Ni chini Sana, pia ikumbukwe kuwa kufikiria kuongeza kipato ili uenjoy life Ni Bora zaidi kuliko...
Jeshi la polisi Ni chombo kingine na Wizara anayoitumikia mtumishi Ina mamlaka yake dhidi ya Hiki alichofanya kwakuwa kimetia doa taswira ya watumishi kifupi imeshusha hadhi ya mtumishi wa Uma.
Kwani hata picha yake unamwona Yuko sawa? Kikubwa kilichonifurahisha Mimi Ni kuwa kwa waislamu kumpeleka katika mamlaka husika, hii Ni hatua nzuri Sana na ndio Msingi mmojawapo wa Imani hiyo, Kitendo Cha kukamatwa na kusimamishwa kazi kwake huyu jamaa Ni adhabu Tosha tu, Binafsi ninamwomba Allah...
Mtumishi wa Uma anatakiwa kuwa na haiba na Mfano Bora katika jamii Jambo ambapo litaleta umoja, upendo, amani na mshikamano katika jamii, ukitafakari kiasi kidogo tu, utaona amevunja "Code of ethics" bila Shaka amefanya kitendo hicho bila kutafakari hatma yake, kitu ambacho so sahihi kwa...
Ajiuzulu kwasababu ya kukataa Ushogaa? Mimi sijaona sababu ya yeye kujiuzulu hapo kwa sababu Ni Mila na desturi za Tanzania ndizo hazitaki huo Ushoga, na Mh. Makonda yeye amelisimamia Hilo kwenye mkoa wake.
Kwa Hilo walilosimamia la kutaka Ushoga utawala Dar na TZ kwa ujumla, bado nitaendelea kumpongeza Mh. Makonda na kuwaambia USA kwamba Kila taifa lina Mila zake sisi huku kwetu Mwanaume kuingiliwa si katika Mila zetu na wao kwakuwa wao kufanyiwa ubasha Ni Mila zao wasitake tuwaige kwenye ufedhuli...
Yah, Hii inawezekana tu pale ambapo mafuta kwako Ni Kama mtaji wa garilo, yaani ukishajaza full tank ukifanya Safari ya Km kadhaa unaongezea mafuta kwa kadiri ulivyotumia gari siku hiyo ili kutoathiri mtiririko wa mafuta na utanikumbuka juu ya hili na utaenjoy Sana.
Binafsi nampongeza kwa maamuzi aloyachukua,hii Ni kwasababu kusoma Ni utashi na wengine husema kusoma Sana Ni woga wa maisha, ikumbukwe kuwa nchi yetu inaamini Kuna elimu rasmi na isiyo rasmi, hivyo huyo dogo yupo sawa afundishwe Ufundi nguo Kisha ataanza kudizaini nguo za mitindo Kisha atapata...
Mimi nashauri tujikite kwenye kanuni zilizoanzisha VETA na JKT vina malengo yanayofanana? Mimi nadhani vyote viwili viwepo kwani malengo yake ni tofauti, Pia kwa mujibu wa Sera ya elimu ya Tanzania Ni kwamba kijana amalizapo kidato Cha nne hupewa Uhuru wa kuchagua Kama anapenda kwenda Ufundi(...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.