Usifanye hivyo mkuuu utaingia cost mara mbili...fundi anachotaka ni hela yako tu.....ukigonga hizo mbao zikipigwa na mvua then jua....zitapinda na ubora utapotea
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Huku kwetu imefika 28000
Vinaumana tu
Tuendeleee kuupiga mwingi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]utazoea tu...hata mimi nilikua kama wewe ila sasa hivi nimeshakua mjuzi acha tu...kwa mwaka mmoja tu
Tunapenda sana kutumia kampuni [emoji2][emoji2][emoji2]ila hela ngumu...unakuta ujenzi unafanya hata miaka 5 ..ukipata unafanya hili ...kampuni si watataka hela yao yote
Yaaan hii ndio kitu naitumia mimi hadi sasa kwenye ujenzi wangu...kila kitu nanunua mwenyewe na bagaini mwenyewe fundi analetewa vifaaa...navyo nampelekea kidogo vikipelea naongeza..sema changamoto yake ni kwamba utagharamikia usafiri mara kwa mara ila sio mbaya maana unacho okoa ni kikubwa...
Kwa maadili yetu madaktari hicho ni kinyume na maadili unaweza kumshitaki.lakini amekutongoza katika mazingira gani akiwa anakutibu au baada ya kukutibu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.