Wanaboard.
Serikali ya Demark iliyoko madarakani ina wakati mgumu sana kwa walipa kodi wake na wananchi wote wa Demark kwa Ujumla.
Walijifunga mkanda ili waweze kuwasaidia watanzania kuendesha serikali yao na misaada mengineyo ga maendeleo.
Badala yake kodi zao zimetumika vinginevyo...
Mungu Baba wa Rehema zote. Asante kwa kuniwezesha kushughudia CCM ikishughulikiwa namna hii.
Naomba waendelee kushughulikiwa.
Uwape Nguvu zaidi ya wapigania Demecrasia ya dhati.
Uwape moyo na ujasiri wateswao akina Lweketar n.k.
Tunaomba hayo bwana wetu amen.
Machame hatumhitaji tena mbunge wa kutuletea maendeleo ndani ya jimbo. Tayari tumeshajiletea wenyewe miaka Mingi.
Sasa tunataka mbunge atakayeweza kudelete vikwazo vya kuleta maendeleo kitaifa na kimataifa.
Mleta uzi huu sio mtu wa kwetu ndio maana hajui mahitaji haswa ya Hai.
Swala la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.