Bado ile asilimia 80 ya waliopinga vyama vingi inatusumbua. Na kale kautafiti ka TWAWEZA kanaendelea kujdhihirisha kua CCM inapendwa na wazee, maskini, wasio na elimu na watu wa hali ya chini. Ndo maana hawataki kutafakari mambo. UKITAKA KUMFICHA MUAFRIKA WEKA UJUMBE KWENYE KITABU
Mwaka 2012??
Naomba unijibu maswali haya niamini kama story hii ni ya ukweli!!
Je ulifanya kazi zako hizo na mtaji wa betting muda gani? Je uliporudia ulirudia form ngapi? Na ukamaliza mwaka gani? Baada ya kufaulu ulisoma elimu ipi ya juu(diploma au degree)? Naomba uwaambie hawa GT kwa kipindi...
Mkuu kuhusu kulima ni bora uchek sehemu unayolima maana kuna wengine wanalima kwa tractor wengine mkono. So bei zina vary kwahilo ungeuliza wenyeji sehemu unayolima 2. Msimu wa kulima ni mwezi wa 3 mwishoni mpaka wa nne mwanzoni na miezi ya 10 kipindi cha mvua za vuli.
Mimi nimelima msimu huu. Nimelima maharage ya njano. Kwa ekari moja nimetumia debe moja. Maharage yanachukua siku 80-90, kuhusu kupata mazao kiasi gani inategemea na ardhi na wadudu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.