jina lang na mm lipo.Ndo kwanza naingia 1st yr mwaka huu na 4m 6 nmemalza mwaka huu xo nashangaa huo mkopo wao walinipa lini....!nmeenda heslb wameniambia walifananisha index no. Yang na m2 ambae alishawahi kuchukua mkopo
jamaa yuko right coz jana nliingia na ilikubal but file halikuingzwa kwa mfumo wa PDF.Na kama uktaka kujtafuta mwenyew kuna sehem ya kuandka index no,year,1st and last name and degree.Also kuna link kwa ajl ya unselected applcnts.
Nmechaguliwa st.john unvrsty ya Dodoma ila hadi sasa bado sijaamua ntakaa katka hostel za chuo au la.Kwa mwaka st.john wanatak Tsh.392500/= Je kukaa hostel za chuo na mtaan kupi kuna faida zaidi? Naomben ushaur katka hil
hiv ulishawah kujiulza
kwann Udsm wamewamind
TCU katka swala la
kuwapelekea wanafunz
wacokuwa na vgezo?
Mfano: Law wanachukua dvsn 1 but hata wa 2
mwaka huu wamepelekwa
thats y Udsm
wamemind.MUM hawalitak
hlo litokee.Kama una nia ya
kusoma kwao bac unatakiwa uende chuon
kwao ukachukue...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.