kuna wengi haswa wale wanao waficha wazazi wao kuhusu HESLB wakidhani Mkopo ni Obligatory kwa Kila Mwanafunzi....
Basi wazazi wao hela hufanyia mambo Mengine Bila Kujua Requirements za Chuo si Kama Secondary!!!!
mfano Advance na O level Matibabu ni 10,000
Balaa la Chuo Matibabu ni 100,000...
mi Napiga simu Naongea Kiswahili Lenyewe linanijibu Kiingereza ...
na mimi Kwa Makusudi Nimemnyooshea Kiswahili kwa Muda wa Dakika Kama 15 hivi...
ikabidi aamue Kuongea Kiswahili ha ha ha ha ha Hapa ndio Aliniacha Hoi """Wewe Kijana Mimi ni Proffesa nalipwa Mamilioni nina Nyumba Egypt""""...
mImi imenitokea....Cha Msingi nenda Kwenye website ya Chuo Ulichochaguliwa then tafuta Contact za Admistration au Dean of faculity Mapema..
mi NimefanyaHivyo NaNikasaidiwa!!!
haya Sasa Mi Ndiyo nimeweka hizi Pumba...
naomba Ziishie Hapa..na Hii Post ni Ya Mwisho!!!
Let Discuss other Things...ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!!
hivi Ni kweli au nistory tu za Mitaani...
nNimeskia eti Huwa Kunampango Kila Mwaka Mademu wenye VVU husambazwa Vyuoni !!!!
Mwenye Facts afunguke!!!
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha!!!!
yap Soma Joining Instruction ya SAUT
utakuta NB:all selected applicants who are in the Following Courses i.e Law BA Education and Socialogy will be transfered at any brunch of SAUT ie Songea Bukoba Mtwara ...the Transaction done By Saut Not TCU..
kama umeandikiwa MC basi unatakiwa Tar 14...
taarifa Kutoka HESLB ha ha ha ha kama Una Div
3 na wewe ni Arts Sahau kitu kinachoitwa
Mkopo.....jipange Kuanzia Leo
wale wenye div 1 & 2 hakuna atakayepewa zaidi
ya 50 % jipangeeeee ha ha ha ha
usipokuwa Makini Mtu Unaweza Acha Chuo data
zipo na Mifano Mingi
ha ha ha ha Kama Hujawahi...
katika Application zangu Nilifanya Bila Kushauriwa
nilianza Na
Ardh cozi 3
IFM cozi 3
na SAUT cozi 2
Maajabu nimechaguliwa ya Mwisho yaani SAUT.... kilichoniudhi IFM wamekomba mpaka Watu Ambao Hawajakichagua Mamamamama hii Imenishangaza Sana inaonyesha Ni "Institute Of Failure...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.