lazima tu wewe utakuwa ni mchawi pumba.... wewe huwez kuandika maneno kama hayo bat nina furaha kwa sababu kila nafsi itaonja mauti ukiwemo na wewe yaani ipo siku na wewe utakufaaaaaaa.
kamanda lisu ni nomaaaaaaaaaaaaaaaa.jamani hakuna kitu kizur sana kama kusoma hasa sheria cheki lisu mambo anayofanya very profeshino ,BRAVO,BRAVO LISU,BRAVO CDM
ningejua kilichoandikwa ndani wala nisingeopen kusoma mkuu vipi hukufundishwa kuandika vichwa vya habar au barua shule ya msingi au ndo umesha sahaau.​
Wewe ulieleta hii mada ni pumbavu ongea huku ukihusisha kichwa hao ni tcu ndo waliowapeleka huko na sio ifm ,wewe umechaguliwa wap kwanza angalia usije uka disco huko uendako maana unaonekana ni kilaaaza yaani BONGO LALA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.