TISS wanapimwa kwa mabaya tu hawana mazuri.
Kama Mwandishi anajua mabaya yao TISS basi na mazuri yao anayajua angeweka yote jamvini kisha kazi ya kuhukumu angetuachia wasomaji wake.
Hizi siyo zama ambazo ulisoma wewe, Mwanafunzi wa chekechea anaweza kupembua Mchele na Pumba, waacheni wawaburuze Walimu wao mahakamani kwani nao wanayohaki hiyo.
Kwa vile ni Dr. Ndo maana , laiti angekuwa Prof. angalau angejua la kufanya , haoni wenzake akina Baregu na Safari wanavyotumiwa na CDM lakini, wanakua wajanja? wajinga ndiyo waliwao , acha apamabane na kesi na mwishoye yatamshinda na atasema ukweli alivyojidanganya kwa CDM.
Wapiga kelele wote bungeni wameshtukiwa, tangu jana SELASINI ndiye aliyeanza. ZITTI, MNYIKA na wengine wanaojifanya wapiga domo sana sasa wameshtukiwa kuwa midomo yao inawezeshwa kwa kiasi kikubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.