Habari za humu ndani?
Kwa heshima kubwa najitokeza hapa kutafuta MKE MGUMBA
Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 48
Nimejitokeza hapa kutafuta MWANAMKE MWENYE KUSHINDWA KUPATA MTOTO AU HASIEITAJI MTOTO
Sina ubaguzi umri wowote! Dini yoyote Naomba Tuwasiliane kwa Email address...
Habari za hapa ndugu zangu?
Naomba sana kwa yoyote yule ambae anazijua shule binafsi HIGH SCHOOLS zilizopo katika mkoa wa DAR ES SALAAM na ambazo zinatoza ADA nafuu kidogo naomba sana aniambie ndugu zangu nina mwanafunzi anahitajika ajiunge na FORM FIVE hapa Dar es Salaam zozote zile ziwe za...
Mtangazaji wa radio Wapo Fm, ndugu Sila Mbise aombe radhi kwa kukashifu elimu kwa kutamka "Hakuna haja ya kusoma kwani kuna waliosoma mpaka chuo kikuu na wanauza matunda".
Mbise alitamka maneno haya katika kipindi cha magazetini cha tarehe 16/07/2015 kinachotangazwa kila siku asubuhi na radio...
mwanangu wa hiari ni ile hali ya mtoto mwenyewe kwa akili zake timamu bila kulazimishwa na wala kushawishiwa na mtu au kitu anakubali niwe baba yake hapa Duniani
Mm ni mwanaume mwenye umri wa miaka 46 nina nia ya dhati na heshima kubwa natafuta mtoto mwanamke wa hiari awe mwanangu wa kweli hapa duniani,sina kipingamizi ktk umri!!naomba tuwasiliane kwa 0715 33 85 27 Karibu sana Binti yangu!!
Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 46, natafuta mtoto wa Hiari kwa jinsia yoyote ile atakaeridhia niwe baba yake wa Hiari, tuwasiliane kwa 0715 33 85 27
Mimi mwanaume mwenye miaka 46,ni muda mrefu nipo hapa Jamii natafuta mke,kwakweli wanawake wote ninaowasaliana nao hapa maswali yao yapo ktk kipato na Nyumba,wote wana interest ya niwe na kipato cha kutosha na Nyumba!kwakweli Nimekata tamaa ya kupata mke hapa jamii wengi wa wanawake hapa malengo...
Ndugu marafiki zangu hapa jamii mimi ni msichana,nina miaka 23,kwasasa nipo DAR,nimejitokeza hapa, NATAFUTA KAZI,NIMEITIMU CERTIFICATE YA COMMUNITY DEVELOPMENT GENDER AND CHILDREN,kutokana na hali ngumu ya Ajira,Nipo tayari kufanya kazi yoyote halali,namba yangu ya simu ni 0755 08 47...
Nina miaka 44,natafuta mwanamke ambae anaitaji MUME kikweli na sio mpimajoto,ni muda mrefu sana natafuta mke lkn wote ni wapimajoto hii ndio sababu mpaka umri huu naangaika kupata mwanamke anaeitaji mume,sina ubaguzi wa umri,dini,kabila,rangi,kwa ufupi sina ubaguzi wowote.
Ahsante unavyofikiri,naomba unielewe kaka mm nina elimu ya form 6 na ndio nimetoka shule,sasa kuna kizuizi gani kinachonifanya nisitafute ajira,sio lazima eti nisubiri matokeo,kila mtu ana matatizo yake kaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.