Wakubwa, hiyo taarifa ya ukaguzi uliofanywa na CAG na PCCB umeshawekwa hadharani? Usitushawishi kuandamana uchi kwa tetesi. Wajanja hatufanyi maamuzi magumu kwa tetesi za mitaani. Naomba utuwekee taarifa kama unayo
Namshukuru Mungu kwa kuanzishwa kwa Dayosisi hii na kumchagua Mchungaji Mwenda kuwa Askofu wa kwanza wa RUDI (Ruvuma Diocese). Nimepita maeneo hayo na nilichojifunza ni kwamba Dayosisi hii imeanzishwa lakini ni Maskini. Haina kitegauchumi wala kituo chochote cha huduma za jamii. Kwa miaka mingi...
Ok, Sheria imejali haki za binadamu wote. Vijana wetu watapata muda wa kupumzika na wenzi wao kwani doria za usiku kutakuwa hakuna. Vituo vyote vya porisi vitafunguliwa saa 12:30 asubhi juu ya alama na kufungwa saa 12:30 jioni.
Rutashubanyuma umeandika maneno magumu ya kiingereza kwa sisi wadtanzania wengi, kama unataka kueleweka kwa nini usingeweka kwa kiswahili? Nimesoma mwanzo mwisho nimetoka kapa! (Kati ya Membe, Lowasa, Sita na Makamba Jn nani anafaa?. Mbona naona wengine wana makundi?
1. Umesahau neno lisemalo ule mwisho hautafika hadi wote wamehubiriwa habari njema?. Huoni inawezekana kutumia teknologia hiyo kufikisha habari kwa kundi linaloitumia technologia hii?.
2. Hujaona wahubiri wengi wakionyesha njia mbalimbali za kutoa mchango? au hiyo michango sio sadaka? kama sio...
Mtoa hoja mbona unakwepa kujibu jinsi ulivyojua idadi ya kura zilizokuwa kwenye box?. Ukishindwa kubaliana na wengi kwamba kundi lenu lililokuwa linampinga Mhe. Mwenyekiti limesambaratishwa na MAKAMBA na sasa umebaki wewe na mwingine asiyejulikana. KALAGABAHO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.