mimi ni muislamu na nina hakika Yesu yupo hai, yupo mbinguni.. hajawahi kufa wala hakusulubiwa ila Mungu alimchukua. na siku moja atarudi duniani ataishi na atakufa kama mitume wengine walivyokufa. na akija atakuwa na waislamu kwani yeye ni muislamu
kwa maelezo ya aya tukufu za Qurani hapo juu, mayahudi walipofika huo mji ulikuwa unakaliwa na watu wengine, Mwenyezi Mungu akamwambia Musa awaambie watu wake (Waisrael) waingie yaani wapigane na hao watu walio kwenye mji huo waliambiwa waingie, na wao waisrael wakahakikishiwa ushindi.
Lakini...
Majibu yoote yapo katika Quran- hayo hapo.. Surat Almaida kuanzia aya ya 20-26
Na pale Musa alipo waambia watu wake: Enyi watu wangu! Kumbukeni neema za Mwenyezi Mungu zilizo juu yenu, alipo wateuwa Manabii kati yenu, na akakufanyeni watawala, na akakupeni ambayo hakuwapa wowote katika...
no sio kweli, waarabu wala walikuwa hawavai hijabu walikuwa kama wanawake wengine tu wasio waislamu. alipokuja mtume Muhammad ndio Allah akaamrisha wavae hijabu..
asante mleta mada tunashukuru kwa kutusifia, sisi ni wazuri si kwenye mavazi tu bali hata kwenye mapishi, na usafi. wanawake wa kiislamu wengi wanajua kupika vizuri kuliko wakristo, na pia katika usafi wa mwili na nyumbani. mkristo anaweza kukaa miezi 6 hajatia maji kichwani kwenye nywele lakini...
we umeona mbali, karibu kwenye dini ya kweli. hii ndio dini ya Adam, Nuhu, Ibrahim, Musa, Yusuf, Yakobo, Isihaka, Yesu na Muhammad na mitume wengine wooote. Mungu ni Mmoja na dini ya kweli ni moja tu
na hii ilifanya baadhi ya wafanyakazi wenzie wanitongoze mana nao walikuwa wanatamani wangekuwa na wake wa staili hii(waliona namcare sanaaa)..na hapo kila mwezi nilikuwa natenga pesa kidogo km elf 50 namnunulia chochote kama shati, au viatu, underwear, etc. ilimradi kila mwezi nilikuwa...
hapana tulishaachana, yaani nilimshindwa..nilifanya kila njia ya kumuonyesha mapenzi ya dhati lkn hakubadilika..nikaona basi ngoja niwaachie wengine labda wamenizidi maujuzi..
nyie wanaume bhana hata mfanyiwe nini hamriziki, sms kitu gani, mimi nilikuwa nampelekea mume wangu chakula kabisa ofisini kwake, nanunua chakula, matunda, maji, juisi/soda. naweka lunch box nzuri tu nampa dereva tax anampelekea hadi ofisini kwake kwa gharama zangu na nimefanya hivi for more...
Hayo ya makelele ni sawa, lakini suala la kusema Mungu na yeye amelala au amepumzika, sio sahihi. Mungu halali wala hasinzii na muwache kumkashifu. wakashifu hao wanopiga kelele lkn usimuingize Mungu kwa kumdhihaki kiasi hicho.
huyo anayelala atakuwa sio Mungu
sasa huyo mchumba wako anahusika wapi hapo? tena ni babake mdogo na wakati huo ye alikuwa mdogo
we samehe ila mueleeze kila kitu na waeleze familia yako uamuzi kabla hujamchumbia ili familia yako isije kukutenga..
lakini huyo aliyeua kama bado yupo kwa nini hamkumchukulia sheria? na huyo baba...
Dah, si ungekuwaga mume wangu tu jamani!!!!!!!!! wengine tulipata vimeo hivo we acha tu
hongera sana kaka. usibadilke please safari ya ndoa inahitaji comitement na mume muelewa kama wewe.. big up sana kakangu
mimi nilimuona ana akili pale tu alibadili dini na kuwa muislamu. aliacha anasa na kusali sala 5 na aliimba nyimbo za kumsifu Allah. alafu miezi michache tu akafariki. Allah amjaalie katika watu wa peponi.
Hiyo chuki yako uliyonayo dhidi ya dini ya kiislamu, chukua visa kamsaidie trump muone kama mtaweza kuifuta hii dini kwenye uso wa dunia..
kama nakuona vile sura kama umekula malimao 100.. kufa na uchungu wako shaytwaan...shwain kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.