Mimi mwanaume mtu mzima umri wangu kati ya miaka 45-50 Natafuta mke nina upungufu wa nguvu za kiume na nina uume mdogo kwa mwanamke anayejali tuwasiliane kwa 0714560515 au email adress mnyella4@gmail.com KARIBU
KWA MARA ZINGINE TENA NAJITOKEZA HAPA KUTAFUTA MKE WA KUFUNGA NAE NDOA NA SIO KUCHAT,NILICHOJIFUNZA MM SIJUI KWA WENZANGU,WENGI WA WANAWAKE HAPA WAMEKUWA MAFUNDI WA KUTAMKA KUWA WANAITAJI MUME MDOMONI TU NA WANAJISIKIA RAHA SANA KUWA HIVYO LAKINI SI WAKWELI KATIKA UTEKELEZAJI.MM NATAFUTA MKE WA...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 43,nina dhamira ya kweli natafuta mke.Naitaji mwanamke ambae atakuwa tayari kuingia ktk maisha ya ndoa,natafuta mwanamke mwenye umri wa kuanzia miaka 38 na kuendelea.
Ndugu zangu mimi nataka kununua simu,nimeona nisiende kichwakichwa niwaulize kwanza ndg zangu hapa,naitaji kununua simu original yenye internet ya bei nafuu,je ninunue aina gani ya simu?nafikiri ndg zangu nimeeleweka naomba msaada wenu!
Pole fasta!nafikiri wapo wanawake wa namna hiyo tena wengi hapa jamii,lkn naamini yupo ambae atakuwa mkweli na serious ktk kutafuta mwenza,husitukimbie naamini wengi wa wanawake waliokuwa serious watasoma hiki kilio chako na pengine nao wanakilio kama chako mtakwenda pamoja.
Fikra hizo zinakuja kwasababu wengi humu ktk jf ni wababaishaji,utakuta mtu anatafuta mwenza,akijipiwa joke nyingi na ubabaishaji kibao,wachache sana wako makini na wana nia ya dhati,hebu badilika utaona matokeo,husiwe wa kwanza kuwaonyeshea wenzako vidole pengine ww pia ni mmoja wao.
Nina miaka 43,natafuta mwanamke anaeitaji mume na ambae yuko tayari kuolewa,sitaki vijana ni waongo sana wengi wana malengo binafsi,natafuta mwanamke kuanzia miaka 40 na kuendelea,kama unaitaji mume kwa ajili ya kuolewa tuwasiliane kwa email adres,mnyella@ovi.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.