One space for setting an office is available at sokoine drive near bandari road.
My take; inawafaa sana watu wa clearing and forwarding corse ina parking space ya kutosha na intazamana na Bandari.
The confessions of Economic Hit Man (EHM). Ni bonge la kitabu ambalo limewachana washkaji wazi wazi na global empire yao. siku moja nitakiweka hapa jamvini
Wakuu na wadau wengine wa conspiracy theories especially za kiuchumi.
..Akina GT, Shy nk kama kuna mtu mwenye access na hizi DVD naombeni na mimi
nifungue macho.
Wakuu na wadau mbalimbali wa conspiracy theories especially za kiuchumi na kisiasa
..Akina (GT, Shy...etc) kama kuna mwenye nazo jamani nami nahitaji kufunuliwa.
Dogo/Kubwa, Una muda hujaangalia Muvie za kusisimua (za kii-intelgencia) au kupata kusoma conspiracy stories,
Ukaona jinsi ukweli unavyoweza kupindishwa kwa kutumia nguvu ya dola.
Bahati nzuri huwa ni sinema na lazima ziwe na happy ending, but kuna conspiracy theories/stories ambazo ukweli...
Ulimboka alituambia kilichotokea. Watu wengi siku hizi wanafanya kazi ikulu na usalama.. Kwani hata ukipita baa si utawasikia tu kwa tambo zao. any way alichokisema ulimboka kinaweza kikawa cha kweli kabisa.
Hao Moderators wako wenyewe ndio Dhaifu nambari moja au watakua wanakula na CCM. Nilishawahi kuandika thread 'Who is Ramadhani Ighondu'?. waulize waliipeleka wapi?!!. Kama ukweli wenyewe unamuhusu JINI (Mtu asiye-exist) unawezaje kusema huo ndio ukweli?!!.
Kila kitu kina utamu na uchungu wake, umefikiria kwa kichwa chako na ukatumia akili zote ukaona mtu anaeweza kuhongwa ni mwanasiasa tu!. plus dunia nzima kitu kitamu ni Uwaziri tu!. kweli kazi ipo.
Kila kitu kina utamu na uchungu wake, umefikiria kwa kichwa chako na ukatumia akili zote ukaona mtu anaeweza kuhongwa ni mwanasiasa tu!. plus dunia nzima kitu kitamu ni Uwaziri tu!. kweli kazi ipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.