inasikitisha sana najua huelewi kuhusu polisi umekaa kiushabiki umepandikizwa chuki zitakutesa sana kwani hakuna muda wa kukuelimisha.polisi hawawezi kumridhisha kila mtu.
R.i.p alex.waliotenda maovu haya walaaniwe.
SS.18,18A,18B,18C &19 OF THE PENAL CODE CHAPTER 16 R.E.2002
"...a person is not criminally liable for an act done in the exercise of the right of self defence or the defence of another or defence of property..."
K.F.18 SURA YA 16 KANUNI YA ADHABU KAMA ILIVYO FANYIWA MAPITIO 2002
"...Mtu hawezi...
Siyo kihivyo kaka usilichukie jeshi la Polisi kutokana na hisia binafsi dhidi ya baadhi ya askari wasiofuata maadili ya jeshi la polisi.ungekuwa askari polisi ungefanyaje unapokutana na jambazi lenye silaha alafu linataka usilikamate kwanza mpaka likupekue?!!!yapo mazingira hayo hayawezekani...
Ni kweli kabisa lakini ni vema mkafikiria kwa kina,Mambo ya kusoma kipande cha gazeti na kutoa hukumu si utaratibu wa kiungwana ukifeli mtihani wowote unalaumu polisi ukikamatwa na bhangi unalaumu polisi!Askari Polisi wapo zaidi ya 45,000 aingii akilini hata kwa yule aliye pata division 0 hivi...
eee mwenyezi mungu kwa kiwango hicho hicho wanacho mwombea mwanadamu wako mabaya IWARUDIE NA IKIWEZEKANA WAANZE KUONJA ADHABU YAO HAPA HAPA DUNIANI KWANI HAWA NI VIUMBE WA AJABU SANA KUFIKIA KIWANGO HICHO CHA KUMUOMBEA MWANADAMU ULIYE MUUMBA MABAYA Hawa ni sawa na wachawi.MUNGU MSAIDIE KAMANDA...
Hee!! Inamaana wewe ukiwa rais watu wote watakuwa mawaziri?itabidi tukodi waokota makopo nchi nyingine.hakuna nchi yoyote hapa duniani ambayo hakuna mgawanyo wa kazi.
Wamekukosea nini au unachuki binafsi.fikiria vizuri-wewe umeshiriki kutunga sheria za nchi hii wabaya wako wanacho fanya ni kutekeleza/kusimamia hizo sheria mlizo zitunga.
Umejengwa kuwachukia Polisi bila kuwa na sababu za msingi.Mtu mwenye akili ya kawaida tu atabaini jinsi ulivyo na mapungufu katika kutafakari mambo.POLISI IPO NA ITAENDELEA KUWEPO JUKUMU LA ULINZI NA USALAMA WA TAIFA HILI NI LA WATANZANIA WOTE-UMEFANYA NINI KUKOMESHA UHALIFU KTK NCHI YAKO?POLE...
Hawa inaonyesha ni miongoni mwa watu walioshughurikiwa na Polisi kutokana na kushindwa kwao kufuata sheri za nchi hivyo wana hasira na Polisi-POLISI HAWAWEZI KUMFURAHISHA KILA MTU.
hayo ni mawazo yako na si mawazo ya watanzania zaidi ya milioni 40 na mawazo hayo hayana mashiko...wewe hujasomea upolisi hiyo ni kazi yao waacheeee.katika kazi za kudhibiti uhalifu lolote linaweza kutokea ikwa nipamoja na kifo si lengo la polisi na hawapendi vitu hivyo vitokee.walitumia...
Sijui kama watakuelewa sijui ni jazba au nini,lakini watu hawa wakipewa jukumu la kuongoza nchi mambo yote wanayo yafanya wakifanyiwa wao itakuwaje?mimi sipendi watu wote wanao jihusisha na ubadhilifu lakini vita wanayo ianzisha haina mashiko kwani kuna uwezekano mkubwa wakawasomba watu wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.