Kwa haraka haraka kuna vitu viwili vya kuangalia katika vyuo vya elimu ya juu ya USA
1 Registration - registration ni rahisi na karibia kila chuo kina registration, hata mie nikianzisha chuo mda huu naweza pata hiyo registration.
2. Accreditation - Ngoma iko katika accreditation, hii lazima...
point yangu ni kuwa hatuna kitu cha maana au pressing issues za jumuia hadi tupoteza mda mwingi eti tunatafuta wimbo wa jumuia? nafikiri wimbo au bila wimbo bado tungekuwa na identity. Angalia jumuia kama za ulaya, wimbo ni kitu cha mwisho wanafikiria, sina maana kuiga ila tuna issue nyingi...
May be I am naive, or may be I am optimistic, but to simply tell us that kwa miaka 10 ya jumuiya ya Afrika Mashariki tunasherekea wimbo wa jumuia does not sit well with me. Sidhani kama tulihitaji wimbo, sioni wimbo ukisaidia kitu chochote, kama ni watu kuwa wazalendo zama za kuhamasihwa kwa...
Mawazo yangu ni kuwa Salim is better off, asipoingilia siasa za Bara au Zanzibar, watamchafua chafua na kumwaga chini. He is much much better to stay off.
Katiba ni kitu cha kwanza ambacho kinapuuzwa hasa na viongozi, wanapovunja sheria kwa kuwa na uhakika kuwa hakuna kitakachotokea kwao. Hapa ndio pakuanzia kujua Tanzania tunahitaji nini.
Swala hapa ni kuwaelewesha walio wengi haki zao kikatiba na kujua kuwa kwa kufuata katiba mabadiliko na...
Geza Ulole
Kuna baadhi yetu wakati tunakuwa (growing up) tulisikia sana neno Geza Ulole, hata wakati mwingine tuliweza kuimba mashuleni kuhusu Geza ulole, baadhi yetu hatukuelewa maana halisi ya geza ulole. Kulikuwa na bendi kadhaa za muziki ambazo ziliimba kuhusu watu wahame kwenda Geza...
point zake zingine zimetulia zingine ziko nje ya mstari ila kaonesha courage ya freedom of speech na kile anachoamini kuwa ni haki, viongozi wengi hasa wa africa ni waoga.
halafu angalia hapa
if the hiring is as above then another richmond saga on the making a cool 40,000 usd a month on some peoples pockets.
Ndivyo nchi inavyoliwa na wenye meno makali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.