Nina generator yangu ambayo siitumii sana; kuna kipindi ili kaa karibu mwaka mzima bila kutumika. Kuja kufungua nikakuta petrol imeharibika na kugandiana kiasi kwamba iliharibu mpaka carburetor, ikabidi kubadilisha.
Katika soma soma mitandaoni nikakuta kuna fuel stabilizer ambazo zinaweza...
Nimeagiza mzigo wangu kutoka china kupitia aliexpress na nimeufuatilia kupitia traking number mpaka ukatua dar es salaam tarehe 19-07-2016 lakini mpaka leo sijaupata. Nimejaribu kufuatlia kwenye tawi langu hapa Dar lakini wananiambia haujafika kwao. Nimesubiri mpaka ikabibidi niombe kuongezewa...
Tokea jana kuna gari nataka nilipie road licence, lakini kila nikitaka kuisajili kwa ajili ya kulipia sipati majibu yeyote.
Nimetuma message kadhaa lakini kimya kwa mujibu wa TRA nikuwa unatakiwa utume neno SAJILI unaacha nafasi na kuandika namba ya gari na kutuma kwenda 15341.
Nilikuwa natazama BBC news leo kukawa na habari inayosema kuwa umeme utakaomika kuwashia mapambo ya kirimasi mwaka huu huko marakani ni zaidi ya umeme tunaotumia mwaka mzima hapa Tanzania. Nikaona wana chitchat inabidi hili tuliweke mezani na ikiwezekana tumfikishie prof Muho ngo alifanyie kazi
Nilipia Road lisence kwa mpesa tokea jumapili (20/12/2015 saa 12:31 pm) na hela ikakatwa nikaambiwa, imethibitishwa kuwa hela yangu imetumwa TRA Motor Vehicle kwenye account waliyonituma kwa ajili ya malipo.
Badala ya system yao kuniletea message ya kwenda kuchukua road licence yangu...
Jana tumewapigia simu juu ya low voltage mkasema mafundi wako kazini lakini mpaka sasa hivi hali ni ileile. Umeme hauwashi fridge, pump wala tv. Simu zenu za huduma kwa wateja mmezima, mnataka sisi tufsnyeje, au turipoti jipu kwa Prof. Muhongo?
Fanyeni kazi bwana, acheni uzembe
Nilinunua TV flat screen inch 42 ya LG, Model 42LB550A,takriban mwaka mmoja uliopita. Sasa imepata tatizo la kupoteza picha na kubaki na sauti peke yake. Ukiiwasha inaonyesha picha vizuri kwa muda mfupi halafu screen inazima na kubaki sauti tu. Ukiizima ikapuzika muda fulani ukiiwasha inaonyesha...
Barabara ya Mwaikibaki inakuwa na foleni sana kuanzia Juzi kwa mida ya asubuhi na jioni na chanzo kikubwa ni shimo lililo pembezoni ya bara bara hiyo karibu na ofisi za clouds fm.
Pia eneo hilo lina mfereji wa maji machafu ambao umeziba kutakana na shimo hilo na kusababisha maji kusambaa...
Juzi nilienda kituo kimoja cha mafuta kununua oil ya gari: zamani nilikuwa natumia multgrade oil SAE 20-50, nikataka nibadili initumie SAE 15-40 na wakaniuzia ORYX ENDUR0 600 nakuniambia inatumika kwenye gari za petrol na diesel. Kufika nyumbani nikapitia maelezo kwenye galoni yanasema ni kwa...
Kuna kilaptop changu kidogo cha samsung nataka kukiwekea window 8.1 lakini nimejaribu kuboot kupitia usb flash disk hakikubali. Nikijaribu install direct inaniambia we could not update the system reserved partition
Nimeribu kuseti booting priority nimeshindwa kwani menu inayokuja baada ya...
Tokea jana usiku hapa kwetu umeme unacheza kati ya volti 70 mpaka 270 na unahatarisha usalama wa vyombo vyetu. Yaani hapa nimezima kila kitu. Tatizo la umeme mdogo ni la siku nyingi hapa mbweni baharini karibu na chuo cha usalama wa taifa.
Tatizo hili la kuyumba kwa umeme kila baada kama ya...
Waziri wa biashara Zanzibar amesema mafuta ya OKI na VIKING yaliyopigwa marufuku ni safi kulingana na vipimo alivyopewa na wataalamu wake na Kuwa TBS ina njama za kuwadidimiza wafanyabiashara wa Zanzibar.
SOURCE: Zanzibar LEO
Ndugu wana JF wenzangu; nipo hapa morogoro kikazi na nilibeba vimoderm vyangu viwili; sasa kale ninakokategemea sana kuperuzi huku JF kamenigomea siku ya pili sasa- ka eateli 3.75G . Nimewasiliana na huduma kwa wateja nawauliza tatizo wananiletea longolongo. Vipi kuna mtu mwingine mwenye tatizo...
Nguzo hiyo ni ya umeme mkubwa ambao haujapita kupozwa kwenye transformer na iko katikati ya barabara na umeme upo. Kwa bahati mbaya gari ikiigonga itasababisha maafa.
Tanesco mkoa wa kinondoni angalieni suala hilo( Ni eneo la Mbweni mbele ya geti kubwa la chuo cha usalama wa taifa)
Nawasilisha
Nimeona kwenye gazeti la the gardian la leo kuwa google kwa kushirkiana na costech wameandaa ICT Innovation network itakayofanyika tarehe 14 September 2012
Kama wewe ni gwiji la teknohama jisajili mapema usije ukakosa kiti. Kiingilio ni bure
Kwa maelezo zaidi waandikie...
Tanesco wanasema wanatoa namba mbili za kuingiza kwenye luku kuanzia tarehe moja mwezi wa tisa mwaka huu na kuwa wamebandika orodha ya wakala watakatoa namba hizo kwenye ofisi zao. Nimejaribu kuingia kwenye tovuti yao lakini sijaona orodha hiyo.
Nawashauri watuwekee orodha hiyo kwenye tovuti...
Naomba msaada wa mwana JF yeyote ambaye ataweza kunipatia kitabu hiki muhimu kwa electronic form. kitabu chenyewe ni,Evaluating clinical and public health interventions, Apractical guide to study design
and statistics, by Mitchell H. Katz, MD
Natanguliza shukrani
Nimejaribu kutafuta pdf writer lakini nimeshindwa kupata; Nilijaribu kwenda kwenye website yao kudownload trial version ili nianze kusaka key lakini ilinigomea kudownload. Naombeni mwenye nayo atuwekee hapa. Natanguliza shukrani.
Loan Defaulters/Wadaiwa
REMINDER NOTICE TO ALL LOAN BENEFICIARIES WHO HAVE NOT STARTED TO REPAY THEIR HIGHER EDUCATION STUDENTS' LOANS The Higher Education Student' Loans Board (HESLB), hereby notifies all loan beneficiaries who are not servicing their loans and whose names appear on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.