Habari pple,,,,,,,
Watu hua wanakua na tabia tofauti tofauti kutokana na malezi,mazingira aliyokulia may be??but all in all mambo tunayofanya na tabia zetu hua zinakuja kutokea kwa watoto wetu ama kizazi kinachofuatia,,mnakubaliana na mimi,??sio watoto wote watachukua tabia zako hapana lakini...
i dont think ni lazma makubwa yote hayo yatokee ndo chuki iwepo,hata kukwaruzana kwa mambo ya kawaida ambayo sio ya kufikia hko kuuwana,,,bt kumbuka ni watu mlihaidiana mengi na kupendana kwa dhati,hufikirii kama upendo wa dhati hupaswa kuyashinda yote hayo insteady of having chuki?????Upendo wa...
Hili swala sijui kama limewakuta wengi,iweje wapenzi mliopendana na kushibana kwa kila jambo kwa mda mrefu wakati linapookea jambo la kuwatenganisha kuna kua na chuki kali kati ya watu hao,?nn hasa sbbu
Hbr pple,
Naulizia msimu wa kuvuna alizeti Singida ni kipindi gani na bei hua kiasi gani na kwa kipimo kipi tafadhali....Kwa mwana Jf anaeishi Singida plz anitafute kwa msaada zaid.
Hbr pple,
Naulizia msimu wa kuvuna alizeti Singida ni kipindi gani na bei hua kiasi gani na kwa kipimo kipi tafadhali....Kwa mwana Jf anaeishi Singida plz anitafute kwa msaada zaid.
Je ni vizuri kua na usiri katika mambo unayofanya kwa mwenza/mke/mume/mchumba?Mambo hayo yanaweza kua ya
kifedha,kikazi,kimampenzi ama ni sawa kua wazi kwa kila jambo unalofanya ama unalofikiria?Manake kibongo
bongo kudanganyana ndo mpango mzima,,,,Kwa mfano mimi napenda saaaaana...
Hbr pple,
vijana wengi siku izi tunatumia mda mwingi kuwaza ngono na mahusiano,hata kwenye suala la majadiliano kwenye mitandao ya kijamii wengi wetu tutashabikia mijadala inayohusu mapenzi zaid kuliko masuala mengineyo ya kutujenga,,nafikiri vjana tubadilike ,tuwe na discipline ktk mahusiano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.