Who is sikonge??? Utakoma wewe, hapa ni hoja tu. Huwezi zuia maendeleo kwa kudai taarifa ya fedha huu ni ukihio! Narudia tena tundu lisu ni kihio! Umeshindwa nini kuweka mifumo ya kujua fedha iliyochangwa na iliyotumika katika jimbo lake tu kama mbunge halafu ajigambe anaweza ikosoa...
Mwandishi wa habari hii ni kati ya vihiyo wanaopenda kudanganya Umma. Fedha za Halmashauri huwa hazirudi Serikali Kuu na BAKAA hutumiwa kuendeleza miradi inayoendelea. Tundu Lisu anashindwa kuelewa jambo dogo tu hivyo kutoonyesha huo mnaouona na kuuita USOMI wake. Fedha za Miradi ya Maendeleo...
SIHASA! Kila upande kuna hali za sintofahamu wengi wanafanya mambo ama kuropoka vitu ilimradi kujifurahisha nafsi zao au nafsi za waliowahonga.....Vyeo na uchu wa madaraka na kufahamika imekuwa chanzo cha haya yote. Tanzania imepata janga kubwa kutokana na kuwekeza mamilioni ya fedha kulipa...
what makes a DICTATOR?? what might be the end results?? it has to be killings of innocent people??
Talking of Nyerere yes he was dictator with his authoritarian rule and style with the idea of fulfilling his best vision of avoiding more chaos to came due to long history of tribal issues...
this is ridicule and fascinating story, why it has to be like this?? when will these inhuman things last?? shame on you who so ever for sure you will pay this...
Msemaji hajui siasa za china, na anayetajwa kuchukua urais ni mojawapo wa kiongozi wa sasa katika wadhifa mkubwa tu.... Sidhani kama ni kujivua magamba bali ni kubadili nguo tuu na kulipaka rangigamba.
Uchaguzi UVCCM leo
Rais Kikwete leo anatarajia kufungua Mkutano wa Nane wa UVCCM utakaofanyika katika Chuo cha Mipango, Dodoma huku vita kubwa ikitarajiwa katika uchaguzi kwa misingi ya kambi za urais kuelekea 2015.
Vita kubwa katika uchaguzi huo ni katika nafasi ya Makamu Mwenyekiti ambayo...
Maskini Shy-rosehana bahati hata kwa mazuri anayofanya yanadharauliwa, swali lake lilikuwa la msingi na shangingi alitakiwa kujibu na kuonyesha umma kwamaba anafaa kuwa kiongozi ndani ya Chama chake na wa Serikali, kwa jibu alilolitoa anaonesha ni jinsi gani alivyo mbinafsi--- kwenye chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.