junior k kumbe hata ww ujielewi ujui soma hajo kwanza. kama unaelewa sana waulize wezako wanao ngangania siasa awataki kufanya kazi. NIWAULIZE WOTE KAMA MNAJUA KILA MMOJA ANIPE MAJIBU SIASA NI NINI? hapo ndipo nitajua kama mnajua. anza sasa kutoa majibu
kimbori kumbuka maeneo ya biashara yametengwa.usipende kulalamika wakati machinga complex aina watu wakufanya biashara ww kama kijana asubuhi unakaa kijiweni unafanya nini? sasa utawezaje kuzungumzia siasa wakati kazi ufanyi au ndio nyinyi unabaki kusema serikali. fanya kazi usije mtoto...
hapo tu nimeamini watanzania tunapenda kulumbana.soma vizuri uelewe hoja yangu nasema sijakukatanza kujiusisha na siasa ila now vijan awengi wamekuwa hawa fanyi kazi wakizungumzia maswala ya siasa yani wakati wakazi utakuta wamekaa na kujadili maswala ya siasa. mm na wahusia vijana wafanye kazi...
kufukunzwa kwa wafanya biashara wanafukunzwa kwenye maeneo yasiyo rasmi ya kufanyia biashara ebu angalia eneo kama machinga complex karume ilala ni eneo zuri tu lakini akuna wafanya biashara. kama wafanya biashara wangekuwa wote pale unazani wanunuzi wasingekuwepo.ndio mana nasema vijana...
kama kijana wa kitanzania unayependa maendeleo na nchi yako niwakati wako sasa kutafuta maisha siyo kila siku unabaki kulumbana kuhusu siasa. kwa kipindi kirefu chaka bovu amefanya utafiti nakuona kuwa asilimia kubwa ya vijana wameacha kufanya maendeleo na kulumbana kuhusu siasa, siwakatazi...
ujaju makeda wanataka msikanyage bungeni pamoja na ikulu.unavyozani una ambiwa ukitaka kupata kazi uwe nauzoefu wa miaka 3 unazani mchezo awataki kubanduka
Jamani hivi elimu ya tanzania inakwenda wapi? kama tunaweza sasa kuweka mtihani wa hisabati kuwa na majibu ya kuchangua sasa tunafanya wanafunzi kuwa wavivu sasa na kupoteza wasomi. kweli tutafika
sioni sababu ya chadema na ccm kulumbana kila siku. Malumbano yatakwenda mwisho wa siku kila mtu unyamaza.wanasiasa watanzania tatizo maneno mengi vitendo vichache. ila itafika kipindi watanzania wataelewa kinachoendele katika siasa yetu ambayo ya maneno mengi vitendo vichache. AMKA NA UITETEE...
Tatizo elimu ni duni.mm na zani kama wangekuwa wameelimika nazani wasinge goma kwani niwaulize wezangu sensa ngapi zimepita na wamehesabiwa leo ndio wagome. Haaaaaaaa kuna kitu kimejificha tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.