Na bado hamjasema ninyi wezi wakubwa ,mnataka panad mlipwe 500 wakati mtaani ni 250?mnafanya biashara kwenye afya za watu ,kama hautaki si unaacha hakuna aliyekulazimisha ,tibu kwa cash
Tatizo la TEC ni kutoamini kwenye mawazo mbadala,kujiona wao ndo kila kitu hapa wamegonga mwamba ,mwarabu ni kama maji kwa zama hizi haiwezekani kwa namna yeyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.