Mheshimiwa tulitegemea bajeti yako itatuokoa kwa kilio cha muda mrefu lakini ajabu umeamua kukaa kimya.Pamoja na bajeti nzuri na maoni mazuri kila mwaka lakini mwaka huu umetuangusha kutokana na mambo makuu yafuatayo;
1.Hukuongelea chochote kuhusu mwekezaji mpya ndani ya TTCL kama ulivyoahidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.