Hili nalo tatizo...maana tochi zinakaa very strategic areas. Unakuta umepita kibao cha 50 then huoni kinachofuta 50 sijui wameving'oa. Ghafla umepanda mpaka 70km/hr then unaona wenzako wanakupiga taa.
80-100km/hr ni reasonable speed. Ila mtu aliezoea kuendesha Mbezi-City center , safari ndefu si jambo jepesi. Inahitaji akili iliyotulia, road lazima uendeshe defensively na sio kutegemea wa mbele atafanya hivi au vile.
ha ha ha nina wa kwangu now ni 2.1 years na ni wa kike, ila tabia na vituko vyake unaweza sema ni wa kiume
1) Akinikuta nimekaa na mama yake karibu labda nimemshika/kumuwekea mkono ni mawili either aje aning'ate au achukue kitu chochote na kunipiga nacho, hajui kama yule ni mkewangu.
2) Simu...
mh! hii iko katika namna mbili, 1) kupigwa kelbu na girlfriend/mkeo, 2) kupigwa kelbu na girlfriend/mkeo hadharani....! Hiyo namba moja naweza ichukulia poa (japo kwa masharti sana) naweza kuwa nimekosea kwa namna moja au nyingine. Ila hiyo namba mbili hata kama nimekosea kunitwanga kelbu...
Sijui kama unaelewa concept hapa....! Tanesco walikuja na 18%, EWURA wakafanya tathmini wakaona ni bora iwe 8.5%. Sasa wewe badala ya kuuliza Tanesco unaanza na EWURA...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.