UTASHI wakati nashtukia kwamba ana uhusiano,mtoto alikuwa tayari kashazaliwa,na katika mizunguko ya weekend alinipeleka mahali siku moja ndio nikakutana na huyo binti na mtoto wake....nitajitahidi kutoingilia,lakini nitapambana kwa nguvu zote huyo mwanamke asionekane kwa wazazi wake...maana...
Habari forum,
nina rafiki wangu wa karibu anayefikiria kumtambulisha mke wake wa nje pamoja na mtoto wake wa miaka miwili aliyemzaa na huyo mwanamke kwa wazazi......tayari huyu rafiki yuko kwenye ndoa halali ya kikristo na ana watoto wanne na mke wake wa ndoa ...nimejitahidi kumzuia kwa kila...
hawa madiwani nadhani wanafundishwaga,au wanarubuniwa kama wakiua watapanda vyeo na kuwa na nafasi kubwa....nina mfano...mbona yule aliyehusika na kifo cha kiongozi wa usa river Arusha,mbona yuko mtaani baada ya kushtakiwa na inafahamika dhahiri yeye ndiye aliyeua?....na wale alioshirikiana nao...
peri nadhani hujaelewa mchezo unavyoenda,,,,una-LIKE kila comment iliyoko juu yako,ungetakiwa kunipa mimi LIKE na kumpa snochet LIKE,atakayekuja chini yako naye atakupa LIKE,ukipata nafasi ya kurudi utawapa wenzako LIKE pia....mimi nakudai LIKE moja.......let the fun go ON
najua wote tunazipenda LIKE za JF ili kukuza reputation,na kupendezesha profile,sasa naomba kuweka hili wazo mbele ya wanachit-chat kama linafaa,tunafanya kama network marketing,unanigongea LIKE,na mimi ninakugongea,yani kila mtu anampa like mwenzake,at the end of the day unakuwa na likes...
mimi ni kijana(wa kama miaka 23 hivi),na kama bahati nimebahatika kupata kazi sehemu flani,wananipa mshahara mkubwa tu,na niliowakuta kwenye department yangu,wengi ni wana umri karibia wa kustaafu,na hawana elimu sana (wengi wana certificate)...hapa ofisini nimepatiwa secretary ambaye ana umri...
nimeangalia program zao,na nimeuliza,nyingi ni evening classes,na bei zao ni juu.pia hawatoi huduma zao katika mkoa wa kilimanjaro(ambapo nipo kwa sasa)....tafadhali kama kuna mwingine anayefahamu mambo ya distance learning na akafanikiwa kupata masters yake awasiliane na mimi ili aweze...
ndugu zanguni,ninaomba kufahamu vyuo unavyoweza kusoma masters hapa tanzania ukiwa bado mfanyakazi,inaweza ikawa evening classes au distance learning kabisa.kwa anayefahamu naomba anijuze.my first option ni distance learning,,,,,hata kama kuna vyuo vya nje vyenye reputation nzuri,vinakubalika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.