Ndugu tafadhali tujuze hii inawezekana vipi?wengine technolojia imetutupa mkono, nahisi kuna mjinga mmoja kanifanyia hivi, ni bwana mdogo na ninaamsupport kimaisha cha ajabu ishu zangu nyingi anazipeleka kwa wakubwa sijui anazipata wapi, na mara nyingine anakuwa na ghadhabu zisizokuwa na msingi...
MMhhh!!!mara nyingi stori kama hizi huwa nasoma kwenye magazeti, kama imekutokea laivu pole!! huna haja ya kumwambia uncle wako utamuumiza sana, na endapo atachukua hatua yoyote jua itakuwa ni matokeo ya hasira baadae kibao kitakugeukia ndugu, na mahusiano na mjomba wako yatakuwa hatiani, hivyo...
Kama, hawaridhishwi wataridhikaje???? inawezekana wewe ndo chanzo cha uvivu wa huyo mwanamke wako, upojichunguza na kujirekebisha mwingine pia atakumwaga. Pole!
Habari zenu, wana JF? Naombeni kuuliza kwa wale walioomba kazi TASAF au wenye taarifa yoyote kuhusu shortlisting na interview kama imeshafanyika, kimya kimekuwa kingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.