Yoyo anatuyeyusha tu hapa,
hakuna cha jamaa anayetaka kuoa, ni yeye mwenyewe, hata signature yake imesuggest "Goal for 2010 Marriage" sasa anaona 2010 hiyooooo na bibie bado hajamalizia masomo yake. Wajaribu kuelewana japo waoane na wazae baada ya binti kumaliza undergrad.
Mimi pia niliangalia kipindi hicho jumapili. Kusema za ukweli hata mimi nilisikitishwa sana na comment za majaji hasa hasa huyo P funk. Na kwa bahati mbaya sana safari hii hata Madame Rita ambaye huwa anajitahidi kuwa polite kidogo safari hii amebadilika kabisa, anawaponda vijana moja kwa moja...
Inasemekana magari yenye ving'ora yanapishana motuari ya mwananyamala hospitali, Hii inaonesha hospitali zote za serikali zilizo jirani zimejaa, Lo dhiki kubwa hii..
Jumamosi wiki iliyopita nilikuwa bored kukaa nyumbani nikaona nitembee kwenye countryside, nikaishia kwenye shamba la miwa la Dizungu ambalo sina wasiwasi wowote kwamba ni shamba la Rais wa awamu ya nne aliyestahafu Benjamin William Mkapa.Shamba hili baada ya kuuliza wenyeji wangu, waliniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.