After praising, and thanking God, he said:
"O People, listen well to my words, for I do not know whether, after this year, I shall ever be amongst you again. Therefore listen to what I am saying to you very carefully and TAKE THESE WORDS TO THOSE WHO COULD NOT BE PRESENT HERE TODAY.
O...
Someni the last sermon of prophet Muhammad mjue, na kisha kupata jibu la swali la muulizaji. Tusiingize fikra.
Nanukuu
"After praising, and thanking God, he said:
"O People, listen well to my words, for I do not know whether, after this year, I shall ever be amongst you again. Therefore...
Timu zote za Bongo zinatumia formation ya" twende pale Mpira ulipo"
Formation za 442, na nyinginezo ni nadharia tu ya mdomoni na practically n wote tunaufuata Mpira ulipo.
Zawadi inatakiwa isiwe kitu chenye thamani( itakuwa ni hongo)
Zawadi inatakiwa ka kitu kadogo tu ku show appreciation( hili ndo la msingi) hapa.
APPRECIATION Ndo msingi sio value ya zawadi. Alafu mnachaguaje zawadi ya kupewa? Nyie vipi?
Viongozi wa ulaya wanapo kuja hapa kwetu alafu sisi tunawapa vibyago wakati wao wameleta mabilioni ya hela za msaada hapa inakuwaje?
Vinyago vibyago tu vya Masai kashika mkuki n.k.
Hii ni aje!
Jezi hio ni symbolic tu, acheni chuki za kifala hizo.
Lazima tusimamie maandiko na tamaduni zetu daima
Maandiko yanasema mwanamke hajaumbwa kuwa kiongozi na ameumbwa kuongozwa.
Tamaduni pia inadhihirisha kwamba Hakuna kuongozwa na mamude( madem) toka kuumbwa kwa mwanadam. Mwanamke ameumbwa kutoka ubavu Wa pili Wa kushoto Wa mwanaume.
Hapo ndio...
Haiwezi Funguliwa wakati bado haijaisha. Itakuwa ni upotevu Wa resource zilizotumika fikisha hapo. Na mkandarasi akifungua atakuwa inefficient Kwani kufungua barabara kabla ya Kwisha ni makosa
Wenje has proven failure so far and unfit for the post in 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.