Search results

  1. E

    Mtoto wa Wassira ajiunga Chadema

    Mimi nadhani kila mmoja ana haki ya kutumia nafasi yake ya kidemokrasia, umakini wa cdm ni jinsi ya kuyavumbua mapandikizi na siyo kuangalia mtu alikotokea. Katika familia moja baba aweza kuwa simba na mama yanga. Hii inatokana na tofauti ya kimtazamo
  2. E

    LEMA mikononi mwa LISSU...

    Majaji walioteuliwa ni vichwa. Namkubali mh chande namkubali mh massati. Hapo kati makamanda wa sheria mh Lissu na mwenzake. Viroba vya haki mikononi mwenu.
  3. E

    Ufisadi wa CHADEMA Moshi: Ofisi zote Halmashauri ilikuwa zifungwe kwa wiki nzima!!!

    Mimi nadhani mkuu wa mkoa hakufanya vema, naona umuhimu wa kujifunza upo kwani Moshi inapanda hadhi na kuwa jiji na hivyo jiji la mfano hapo baadaye. Nadhani kama sio unazi wa kisiasa mkuu wa mkoa alipaswa kuhoji bajet na ikiwezekana kuipunguza. Idad ya wanamsafara na posho ya kila mmoja ndo...
  4. E

    Tanesco yazidi kubanwa; Waziri Muhongo asema kesi Tanesco ni ‘ulaji’ tu; lina Kesi 200 zisizoisha

    Wale wanaompinga prof watakuwa watoto wa mafisadi, mm kama mzalendo nampa big up na watz tuko nyuma yako, wakikupindua nasi tutawapindua, peoples power
  5. E

    Adam Chagulani (Diwani aliyetimuliwa CHADEMA) aanza kufunguka...

    Haya yote yapatiwe ufumbuzi kwenye katiba, kama m2 anashindwa kuheshimu matakwa ya chama aachane nacho. Unapokubali kuwa chini ya uongozi lazima ukubali kuwa kuna wakati utatofautiana na wenzako ila ukiona umeshindwa basi jipime. Mimi wasiwasi wangu mkubwa ni vijana wanaoingia kwenye siasa bila...
  6. E

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Nadhani yapaswa kutofautisha kati ya uwezo wa kujenga hoja na uwezo wa kuongoza. Dr slaa anavyo vyote, zito ni mjenga hoja na sio kiongozi na tena ana uchu na madaraka kama ndugu yake kafulila.lakini tungependa tuone anatoka salama kwenye kashfa ya rushwa na kama atapatikana basi tutajua kumbe...
  7. E

    what else needed in our leadership?

    Is the leadership vaccum caused by type of leaders,leadership system, or constitutional aspects?kenyans are stretching forward daily, what is the uchawi behind?
Back
Top Bottom