Jamani watanzania wenzangu tusifanye mchezo na hili suala la mipaka muhimu ya inchi yetu..tukumbuke matatizo yanayowapata wenzetu wa israel na palestina ni mambo haya haya ya nani anastahili kupata nini..tuchukue muda wa kutosha kupata ukweli wa hili jambo na hasa wenzetu mliobobea kwenye haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.