Naomba msaada wa mawazo maana i am running out of ideas. Nina mtoto wa miezi 8 anayesumbua kula. Namjaribisha vitu tofauti tofauti ila ni vichache sana anavikubali. Nikisema nimemjaribisha ni kwamba nimempa chakula hicho kama 5 times siku tofauti tofauti kagoma.
NB: mtoto nikimpa maziwa ya...
Leo naomba niwaongelee wanaume wenye tabia hii.
Hivi inakuwaje mfano mkeo/partner unae lala nae kitanda kimoja anakuamsha usiku anakwambia mpenzi naumwa unamtazama unamwambia "pole".
Kisha unageukia upande wa pili unalala mpaka asubuhi.Hujali hata kuuliza ni nini kinachomsibu mwenzio na...
Habari zenu wana MMU, wakubwa shikamooni.
Leo kuna jambo naombeni wenye uzoefu wanipe mawazo yao.
Mimi ni mama wa kambo kwa mtoto wa kiume wa miaka 8.
Nilimkuta baba yake amesha achana na mama yake kabla hatujaanza mahusiano.
Jamani mtoto huyu amekuwa mtihani kwangu, hata nimfanyie nini...
Habari zenu wote, wakubwa shkamooni. Hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi humu ndani, na nimelazimika kufanya hivyo kwa tatizo linalonikabili.
Mwenyezi Mungu kanijaalia mtoto wiki moja iliyopita. Tatizo ni kwamba maziwa yangu yanatoka kidogo sana na sio mazito kwa hiyo mtoto hashibi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.