Mmmh dada kapumzishe nafsi yako kwani umezaliwa nae?! Akwendreee na sperms zake chache, mfyuuuuu! Siku ukihitaji kuzaa utazaa kwa uwezo wa Mungu, utashangaa una ovarian sijui nini na unazaa. Huyo X mume wako haku deserve
Wewe ni mbinafsi kufikiria mkeo kufunga kizazi. Kwa nini usifunge chako?! Duniani hatukai milele, ikitokea umetangulia (Mungu apishe mbali) mkeo hapaswi kuzaa tena? Uamuzi wa kufunga kizazi au la ni wa mkeo na sio wako, wewe una uamuzi juu ya kizazi chako. Nenda wakakutoe naniliu hamtazaa na...
Mshaurini kisha mwacheni. Akilizwa anaweza ku date tena wa miaka 19 akipenda, tatizo lipo wapi. Anaupenda u senior bachelor, sio kila mwanaume anaweza kuwa mume!
Kwa nini usifunge mwezi mzima ukatia nia ya k uomba msaada wa Mungu kwenye dhuluma hiyo badala yake unaenda kwa babu! Kufunga kuna faida kubwa kwenye moyo wako, hasira ulizonazo sasa zitaisha
Atapata, amtegemee Mungu maana mume mwema huletwa na Mungu. Na Mungu yu Mwema kwa watu wote na anatupenda wote. Kuna dating site HIV Dating, HIV Personal Ads, HIV Personals anaweza kutembelea akaona watu wakiwa wanadate kama kawaida itampa moyo. asijisikie mnyonge kwenye hili, inawezekana being...
Kaoe mtu wa kabila lako basi atakayekuelewa hajui kuwa romantic. Acha kumtesa mtoto wa watu miaka tisa yote hiyo kidume ndo wewe. Huyo mchumba wako itakuwa ana mwanaume mwingine anayembembeleza na anatembea nae sasa hawezi kutembea na wanaume wawili kwa mpigo ndo maana anatoa visingizio...
Pole kaka. Kwa asilimia kubwa nadhani wife atamtafuta jamaa au watatafutana maana inaonekana kuna unfinished business. Kuepuka hilo mpe demo wife la nini kitatokea akifanya hivyo ili umkumbushe umuhimu wa ndoa yake kama kasahau na atakachokikosa. Weka bayana kuwa ukihisi wanamawasiliano YOYOTE...
Kaka Mimi sio daktari ila nimewahi kusoma mahali kuwa harufu ya mdomo inasababishwa na bacteria kinywani wanaotokana na usafi hafifu wa kinywa kwa miaka mingi. Mpeleke kwa Dr wa meno/dentist
Kwanza pole. Dunia ya leo wadada nao wanatega sehemu nyingi mpaka ajue muelekeo maana huja commit bado. Mwingine anawaza ajifunge kwako tu na miaka unaenda ukimtosa je? Wewe mumewe? Yawezekeana alikuwa anaandaa "backup". Hiari ni yako, kukaa au kusepa
mkuu ili nisitoke nje ya mada ngoja nisijibu hoja hiyo. Pointi niliyokuwa naiweka wazi hapo ni kuwa, kuna wanawake hawaridhiki na waume zao, iwe ni kitandani au kwenye issue zingine, lakini haimaanishi ni ticket ya kutoka nje kwa mapungufu ya waume zao, mbona huwa wanang'ang'ana tu? Kwenye...
"Angalia umekosea wapi mpaka mumeo kaona atoke nje ya ndoa". Kwa hiyo kila mwanaume anayetoka nje ya ndoa mkewe kakosea mahali? Kama wewe ni mweusi akamuona mwanamke mweupe akamtamani kwa hiyo "umekosea" ukajichubue ili asitoke? Hii dhana ya kuwa kila mwanaume akitoka nje ya ndoa mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.