achani Unafki WajinGa Nyiee...when It comes to Nation Issue Kueni serious Bhana.....Taifa stars Ni yetu sotee.....Moment of silencee Tuombe Tusindee....All Of Us we Tanzanian..kama Umezaliwa Kwenye mapori ya Wanyama..basi Grow Up..Tuungane Pamoja....#No offensee...
Yheaaa mkuu itakuwa 2 ya mwishoo xo Wamemvuta kwa PoinT 4 Lakini iyoo ya 31 kaaa labdaa Ukadanganyee wazazi wakoo ambao Wana elimu ya Kuunga Unga kama Mulugoo Ndo wakuamini
wory ouT dogoo.....at de end of de month ....tokeoo must be reveal in Light xo cooooL down like frozen iceee usije ukawa ndo wale wa ''earth as sphereee.''.....
hahhhah zimbabwe bwana,mzee flani aloenda kununua mkate supermarket then ela akaacha nje kwenye toroli baadaa ya mda akapita kibaka mjanja,akaona siotabu,money worthless so wat to do then,akazimwaga pesa akasepa na toroli!
acheni uswahili nyinyi,janet jackson ana 150$ million dollar, and uyo mshkaji ana 200 million dollars,so that proof their relation actually isn't for money kivile,lakini wakuu nakubali point ya kuweka record that all! Follow link hii utajua all thinGs Janet Jackson Net Worth | Celebrity Net Worth
Alikuwa kilazza ile mbya,inamanisha yeye ndo alikuw kilaza alieyelimika kidoGo,alafu kusema alikuwa anatafuta pesa inatoka wapi hii,wakati enzi za nyerere watu wamesoma bure au huyu jamaa alisom@ duce nn!au vyuo vya watu wa zima!naomba msaada hapa
Lowasa ana Good persepective about TAKUKURU,but sio mtu wa kumuamini hata kidogo from time to time tunaona madudu yake,but i think anataka avae ngozi ya kondoo wakati tunajua ni mbwamwitu mbaya ambaye ana njaaaa ya madarak
chakuzingatia ni kwamba mtu yeyeto awezi kukimbia his past bana,always...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.