Mkuu karibu sana, sisi ni kampuni ya kitanzania yenye ma Geologist wenye uzoefu wa shughuri hizo wa zaidi ya miaka kumi, unaweza kutupata kupitia namba hii +255766775255
Mashariti ya kifungo cha nje ni kama ifuatavyo
a) kwanza atatakiwa kuripoti kila siku asubuhi saa kumi na mbili, mahakamani ambako atapangiwa shughuri za kijamii kama kufagia, kulimia bustani za mahakama au kufanya usafi kwenye mahospitali, watakuwa wanamuachia saa nne asubuhi.
b)...
Mashariti ya kifungo cha nje ni kama ifuatavyo
a) kwanza atatakiwa kuripoti kila siku asubuhi saa kumi na mbili, mahakamani ambako atapangiwa shughuri za kijamii kama kufagia, kulimia bustani za mahakama au kufanya usafi kwenye mahospitali, watakuwa wanamuachia saa nne asubuhi.
b)...
Wadau nimeanzisha kampuni yangu mpya inashughulika na consolidation and deconsolidation(import and export), parcaging, warehousing, door to door delivery na other logistics zinazo husiana na import and export.
Mimi kama mwanzilishi nina plan yangu ya marketing, lakini nimeona nije kwenu...
Jamani wacheni kutuponda wenye wenye GPA za 2.5 Mimi nina haiyo GPA na nimefanya kazi ya kuajiliwa miaka mitatu na nimekuwa the best employee zaidi ya hao wenye GPA za 4, na nikaingia kwenye kujiajili ndani ya miaka minne nika perfom na sasa nina kampuni tatu kubwa nimeajili wazu zaidi ya...
Jamani TPN wamesha anza mchakato wa kusanya michango kwa ajili ya waathirika na leo Boxing day wanatarajia kuwasilisha awamu ya kwanza ya michango hiyo kwa walengwa, muwe na subira na si vizuri kumuhusisha mtu na taasisi, hamumtendei haki bwa Mtsimbe!
Nimesikia kwamba Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe Jakaya
kikwete ameteuwa mabalozi wapya watakaowakilisha Tanzania katika Nchi
kadhaa majina ninayo machache
Philip Marmo ambaye ameenda Uchina
Batilda Burhani Ambaye ameenda Kenya
Mwenye orodha kamili atupe lakini inaonyesha...
Nia ya kuanzisha topic hii si kukashifu dini yoyote, nikuonyesha mshikamano tulionao ndani ya CHADEMA, hivyo mnaotaka kualibu topic hii kwa kukashifu dini ya watu naomba muache
Mimi sijasema Mbowe anakosa! Nimesema amefanya vizuri hasa kwasababu chama chake kilichafuliwa na siasa chafu za udini,soma vizuri hoja kabla ya kukurupuka kujbu
Kiongozi wa kambi ya upinzani leo amevaa vazi la kanzu ambao ni vazi rasmi la ibada la waislam, hii ni ishara nzuri na strategy nzuri kwa mwenyekiti wa chama kilicho chafuliwa na siasa chafu za udini
Nyie watu wa JF acheni kuwakejeri watu wa vijijini na wamjini wenye hali ya chini, wewe unasema unaishi kwenye mabanda ya uwani Tandale huku unachati kwenye internate
Wakati nchi ikiwa gizani, na bajeti ya wizara ya nishati na madini ikikwama bungeni, Vasco dagama ameondoka leo kuelekea Africa kusini na atapata nafasi ya kuvinjari kisiwa maarufu alichofungwa mandela
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.